Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Wana JF, Mimi kama mdau wa Elimu, nina mengi ya kutolea maoni, kwa usiku huu naomba nijikite kwenye Lugha ya Kiswahili. Lugha hii (kwa msiojua) imekuwa ikigombaniwa Utambulisho wake, yaani...
0 Reactions
1 Replies
762 Views
Kimsingi elimu ya kitanzania ni moja ya elimu isiyofaa katika dunia ya leo, mfumo wa elimu ya tanzania umeunganishwa na siasa na kujichimbia katika siasa,jambo ambalo ni hatari kwa ustawi wa elimu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ni muhitimu kidato cha nne 2016 lakini mpaka sasa tunaambiwa kuwa vyeti vyeti havijatoka naomba kupata msaada katika hili kwa mwenye mwongozo kama yupo?? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habarini wakuu, Naomba msaada wa mitihani ya Hesabu Kwa kidato cha Tano na Sita Mwenye nayo naomba anitumie kupitia anuani myusuph2@gmail.com
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Katika hali ya kusikitishwa afisa elimu taaluma elimu msingi Moshi manispaa si amelipwa malipo yasiyofahamika na chama cha walimu Tanzania {CWT}. Mwalimu huyo jina limehifadhiwa amekuwa akilipwa...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Mtoto anajifunza dunia inayomzunguka kutokana na michezo. Sense ya kwanza ya mtoto huwa ni mdomoni, chochote anachoshila atataka akifahamu utamu wake kupitia mdomo. Cha pili ni makali mpaka utu...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Kuhusu suala la mikopo kwa wanafunzi wa kidato cha sita 2018 limekaaje maana 1. Bado mitihani inaendelea 2. Posts za JKT zinatarajiwa kutoka. 3. Viambata ambavyo ni Results Slips bado. Imekaaje...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari za muda huu wana jukwaa!! Nimeangalia website ya chuo cha usafirishaji naona haijaruhusu maombi ya kujiunga na chuo mwak 2018/2019 Ni kweli hawajaruhusu maombi ya kujiunga na chuo kwa...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Nitangulize Salamu, habarini wakuu Kwa mara nyingine nakuja na hii. Mimi ni muhitmu wa kidato cha 6(sina elimu zaidi ya hapo) ambae nina uzoefu mkubwa katika kufundisha somo la hesabu (O & A...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Wadau jukwaa la elimu na walimu wenzangu mkuje tuelezane kwenye vituo vyenu vya kazi hali ikoje? Kipi kinachotakiwa kufanyika kwenye ufanyaji wa hii mitihani ya kumaliza muhula wa kwanza shule...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Wakuu naomba msaada wenu kwa anae jua shule ya msingi (English medium) iwe boarding iwe mkoa wa Morogoro,Natanguliza shukrani zangu kwenu wanajukwaa
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Wakuu msaada wa mwenye contact za admistration office yao au mwalimu wa hapo , msaada
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wanandugu n kwanin baadh ya masomo ni ya lazima shulen lakn mengine ya kuchagua? Mchango wenu n muhimu wa haraka haraka!
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Msaada ndugu zanguni tafadhali Habari za mchana, Naomba moja kwa moja niende kwenye tatizo,nina mdogo wangu kamaliza kidato cha nne mwaka jana 2017,na ufaulu wake ulikuwa hivi Kiswahili C...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
*KESI YA NIDHAMU MTOTO WA PROFESA* Mtoto katoroka shule kurudi akakamatwa na baada ya kumchunguza ikaonekana mtoto kalewa kumaanisha alitoka kunywa pombe..... Kikao cha nidham kikaridhia kumpa...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
bonyeza hiyo link WIZARA WEBSITE kazi kwako
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Natumaini mu wazima wanaJf niende 1kwa1 kwenye topic Ukisoma veta unawezaje kuendelea kusoma hadi diploma samahan naomba mnijuze
0 Reactions
9 Replies
7K Views
RUAHA CATHOLIC UNIVERSITY (RUCU) FORMER RUAHA UNIVERSITY COLLEGE (RUCO) IRINGA APPLICATIONS FOR ADMISSIONS INTO DIPLOMA AND CERTIFICATE PROGRAMMES FOR THE ACADEMIC YEAR 2018/2019. Ruaha...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Kati ya Biomedical Engineering Vs Industrial Metrology ni ipi iko Marketable kwa sasa hapa Nchini ?
0 Reactions
0 Replies
909 Views
Back
Top Bottom