Habari zenu wakuu.
Nina mdogo wangu mwenye diploma ya medical laboratory.
Anataka kujiendeleza kimasomo(yaan kuchukua degree ya kwanza) lkn isiwe mambo ya afya.
Anachotaka yeye in vitu kama...
Wakuu nawasalimu Wana poleni na majukumu! Kwa wale wazoefu na wajuzi wa hizi shule za vipaji maalaumu mfano iliboru, kibaha, mzumbe mtwara tech, tanga tech, ifunda, etc. Ni Kwa nini serikali...
Kuna rafiki yangu anaomba kujua kuhusu utalatibu wa kuhama,kutoka kuwa mwalimu wa s/msingi kwenda vyuo vya kati,kwa sasa ana shahada ya elimu ya awali,ni hatua zipi anatakiwa kuzifuata?
Ndugu wanajamvi naomba Nianze kwa kuwasalimia HABARI ZA MAJUKUMU. Natumai muwazima Afya.
Nimekuja kwenu kuwataka Msaada wa mawazo, elimu ikiwezekana pia hata mfadhiri.
Naitwa Francis Jackson...
Wana Jf nataka shule au college ya kujitolea kufundisha nitakapomaliza Chuo, Mkoa wowote Tanzania. Nasoma Degree ya special needs education. kwa masomo ha kufundisha nimesoma English literature...
Habari zenu wadau! Hebu tuambie ni hesabu gani ulikuwa huzipendi kipindi upo Sekondari, na zipi ulikuwa unazipenda Sana..... Binafsi hesabu za maumbo nilikuwa nazichukia Sana, yani nikiletewa...
Wadau.
Mimi nina shahada ya ya kwanza ya PROJECT PLANNING AND MANAGEMENT. Nahitaji kuendelea na masomo,nimepata taarifa kuwa hapa dsm kuna chuo posta kinaitwa Tanzania Institute of Project...
Nina elimu yangu ni kidato cha nne nimepata division four ya 27
Book_keeping-D
Commerce-D
English-D
Geography-D
History-D
Kiswahili-C
Islamic-D
Basic mathematics-D
Biology-F
●NAOMBENI USHAURI...
Napenda kwa wale wanaojua maana ya jina hili la huyu Mh.rais wa jamhur ya kidemocrasia ya watu wa congo na historia yake toka mwanzo wa urais wake na misuguano kati yake na mwanamuzi na gwiji wa...
Mimi ni kijana niliehitimu masomo yangu ya kidato cha nne mwaka 2016 namshukuru mungu nilifaulu nilipata div II ya points 21,nilifanikiwa kupangiwa PCM shule ya lugufu mkoani kigoma lakini wazazi...
Wapendwa wana jf naomba kwa anayeifaham shule ya Cornerstone Leadership Academy kuhusu vigezo vya kujiunga na hiyo shule alafu na mengineyo zaid naomba anijulishe Tafadhali kwan natamani niijue...
MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU WA RAISI
1.LAMECK KAMULI- 506 sawa na 38.1%
2.CHACHA KYARO -438 sawa na 32.9
3.GWAKISA A. MWAIPOPO 384 sawa na 28.9%
Hongera nyingi kwake Lameck Kamuli
Habarini wanaJF...
Naomba kufahamishwa maswali haya;
1. Hivi kwa mwanafunzi aliyepewa mkopo na bodi ya mikopo yaani 100% chuo kikuu, anakua na deni la jumla ya Tshs ngapi baada yakumaliza masomo...
habari za asb wanajamvi nipo mbele yenu naomba kuuliza kwa dar ni wapi kuna chuo kizuri cha uandishi wa habari na utangazaji tv & radio broadcast na je ada zipoje mkuu pia khsu field pia kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.