Habari za muda huu wanajukwaa wote vp wikiendi inakwendaje?
ebuana nina mdogo wangu kamaliza sekondari kidato cha nne 2014 sasa kutokana na matokeo yake yaani combination inbalance hakufanikiwa...
Dhumuni kubwa la uzi huu ni kuuelezea umma kuwa Mimi ni miongoni mwa walimu bora mwenye mchango mkubwa kwa wanafunzi wasomao somo la history. Nimewasaidia wengi na matokeo yao yalikuwa makubwa...
MATOKEO YA KIKAO CHA MAJADILIANO KATI YA CHAKAMWATA, CWT, MKURUGENZI WA MANISPAA YA ILALA, KAMISHNA WA KAZI NA MWANASHERIA WA MSAJILI WA VYAMA VYA WAFANYAKAZI KILICHOKAA TAREHE 10/04/2018.
Kikao...
wadau nisaideni kunijuza juu ya chuo ambacho kinaendesha course ya 3D animation kwa hapa tanzania(DSM).vyuo vingi nilivyotembelea vinaendesha course ya graphics design tuu.nawasilisha.
JE UNA ASSETS AMA LIABILITIES?
[emoji888] Asset ni kitu chochote kinacho kuingizia pesa mfukoni uwepo au usiwepo.
[emoji888] Liability ni kitu kinachotoa pesa mfukoni kwako.
[emoji1542]Ukitaka...
Naomba huu ujumbe uwafikie menejimenti ya Bodi ya Wahasibu na Wakaguzi , NBAA.
Yahusu ucheleweshwaji wa matokeo ya mtihani wa Novemba 2017.
Kwanza kabisa hajawahi tokea kwa bodi kichelewesha...
habari zenu wadau
naomba kuuliza kwa anayefahamu hiv mtu ukisup chuo inakuaje kuhusu mkopo wako je unaendelea kupata au la?
na pia uki carry mkopo unapata au la?
Habari zenu wakuu, mimi natarajia kufanya application NACTE kwa mwaka 2018/19 ila nahitaji ushauri kati ya hizo ipi nzuri kwa soko la ajira maana sina mtaji wa kuweza kujiajiri maana ninasifa za...
Wanajamvi habari za jioni napenda kupata kiini cha migogoro hasa shule za sekondari zenye walimu wa kike na kiume na unakuta mwalimu anapokuona umeteleza mahali anatumia hayo madhaifu yako...
Kumekuwa na mazoea ambayo kila mgombea URais wa chama flan anakuwa na kauli mbiu yake hii si mbaya lakin kumekuwa na kosa kubwa ambalo kamwe hatuwezi kusonga mbele tunashindwa kuwa na muendelezo...
Mwezi wa kwanza hadi wa tatu, ulitolewa waraka wa kuamisha walimu wa masomo ya Sanaa baadhi toka shule za sekondari kwenda shule za msingi Tanzania yote.
Agizo hilo lilitekelezwa na wakurugenzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.