Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Salaam, naomba msaada wa ufafanuzi juu ya hili, nina mtoto yuko shule binafsi , amerudia mara mbili nikamuhamishia shule nyingine lakini nako yuko hali mbaya kwani yuko kidato cha pili ila...
2 Reactions
49 Replies
8K Views
Mbunge wa Geita vijijini, Joseph Kasheku maarufu Musukuma (CCM), ameitaka serikali irudishe kazini watumishi wa darasa la saba iliowafukuza vinginevyo wabunge wenye elimu ya darasa la saba pia...
0 Reactions
1 Replies
8K Views
Jamani naombeni msaada wa topic za physics A-level
0 Reactions
10 Replies
4K Views
wakuu habari, naomba msaada kwa aliye na uzoefu au taarifa sahihi za chuo hiki anisaidie. campus life, ubora na unafuu wa msisha nje au ndani ya chuo. nahitaji kumpeleka mtu kule je tution...
1 Reactions
16 Replies
5K Views
Habari wadau, mimi ni kijana mwenye kipaji cha kuchora, kudizain maneno na kuandika (Painted skills), lkn skuwah kusomea chochote juu ya ivyo, ila kuna baadh ya watu wamenambia nikasomee...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kiswahili Kimekuwa Jifunze kupika Chipsi Mayai hapa
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Salaam, naomba msaada wa ufafanuzi juu ya hili, nina mtoto yuko shule binafsi , amerudia mara mbili nikamuhamishia shule nyingine lakini nako yuko hali mbaya kwani yuko kidato cha pili ila...
0 Reactions
0 Replies
874 Views
Habari wana JF, natamani sana nifungue NGO ya ambayo itajihusisha na kuwaangalia na kuwatetea watoto wenye ulemavu na waishio katika mazingira magumu kwa kuwapa misaada midogo midogo na...
0 Reactions
1 Replies
894 Views
Habarini za jioni wapendwa wanaJF, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Niende moja kwa moja kwenye mada. Kwa wale tuliosoma SINGE HIGH SCHOOL tukutane hapa kubadiliahana mawazo na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Husika na mada tajwa hapo juu *Bei za ada ukitaka kusomea urubani? ✈✈✈✈✈ * je,utoaji wa ajira hauna undugu? * Tanzania kuna chuo bora cha Urubani✈✈? * Je ni lazima kusomea nje ya nchi? *...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Hahaaaaaaaaaa jana ndio nimegundua kweli anayetaka kukunyanyasa anakunyima akili tu, CWT hapa mlipoteza muelekeo. Binafsi ninafahamu shida za walimu wa Tanzania na maswahibu yote katika kazi ya...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Wakuu, Naandika uzi huu kwa masikitiko makubwa kwa baadhi ya wanafunzi wa vyuo vikuu tusio wanufaika wa mkopo, hususani wale tunaoendelea kwa mwaka wa 2 na na 3. Inauma sana iweje baadhi ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Tafadhali nimeulizwa swali na mama mkwe wangu kuhusiana na GPA?? Kuna shemeji yangu amesomea course ya BAED na amepata GPA ya 2.56 na anataka kusomea course ya "Masters " kwny Administration...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
MINISTRY OF EDUCATION, SCIENCE AND TECHNOLOGY AUSTRIAN DEVELOPMENT COOPERATION ITH SCHOLARSHPS FOR TANZANIAN STUDENTS 1.0 INTRODUCTION The Austrian Development Cooperation offers two types of...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari za wikiend wakuu wale wa chuo cha IJA lushoto tukutane apa tujadili mambo flan flan
0 Reactions
12 Replies
6K Views
UKIFUATILIA mazungumzo ya wa-Tanzania wengi kwenye mitandao ya kijamii, unaweza kuona namna watu wanavyojinasibu kujua. Mijadala mingi imejaa ‘ujuaji’ unaofanya watu wajigambe, wadhihaki wengine...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habarini jf. Nina mdogo wangu amemaliza certificate royal college mwaka jana ila mpaka sasa hajapata cheti. Nimejaribu kufatilia chuoni mara kadhaa wana sema vyeti bado havija sainiwa nimeuliza...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nina mtoto wa sister yangu. Ana div 1.12, shule aliyosoma O level haitaki. Shule nyingi nazompeleka naambiwa kachelewa. Walishaanza kusoma na mambo kama hayo. Ni mtoto wa kiume. Nakmba kujua...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
SWALI LANGU LA LEO. ni ipi opportunity ya mtu wa IT au computer science je anaweza kufanya kazi ya IT peke yake au sector tofauti kutokana na elimu aliyokuwa nayo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom