Bila shaka wanasomea masomo ya sayansi na mwaka huu bila shaka wanahitimu, nasikia mwezi huu wa pili wana mtihani wa kitaifa.
Hivi nao wakimaliza watasubiri ajira kama wengine? Au wao...
Wanajamvi,
Kwa anaemfahamu mmiliki wa shule ya Musabe iliyoko jijini Mwanza tafadhari asaidie kufikisha ujumbe huu. Ni kweli shule imejengwa kwa standard ya kisasa na mmiliki nampongeza kwa hilo...
Habari..!!.
imani yangu inanipa ya kuwa JF kuna wasomi wengi wa Elim za juu.
Naomba tusaidiane katika hili mana wengine huwa tunapenda kujifunza ambavyo hakutuvisoma..
Martin Luther King Jr &...
habari wakuu, naomba mwenye kujua chochote kuhusu applicaton na market ya hiyo program kwa hapa Tanzania utakapoisoma kutoka nje ya nchi! inakupa uwanja gani wa kujiajiri au kuajiriwa.
shukran
nina 4 ya 29 na D sita na F ya math je lipi la msingi kwa sasa nilichukulie hatua naombeni msaada wenu tafadhali kama niku receit au kuna cha maana zaidi ya ku reciet
Wadau, mwenye taarifa zozote za admission za masters UDSM znatoka lini naomba atusaidie,
Mwanzo wakati tunaapply waliweka tangazo kuwa watatoa majibu July mwishoni lakin mpaka sasa bado...
Halla to All !.
Straight kwenye mada. Leo nimemkumbuka sana jamaa yangu mmoja nilisoma nae Primary.
Jamaa tulikuwa tunakaa kitaa kimoja. Tukiwa skuli, usingeweza kunionea kizembe alafu yeye...
Ndugu wanajamvi..
Rejea kichwa cha habar hapo juu...
kwasasa na miezi tisa katika utumishi wa umma, kwa nafasi ya ukufunzi wa somo la kompyuta katika chuo fulani cha ufundi chini ya wizara ya...
Hello wanajamvi habari zenu nyote.
Kama kichwa cha habari kinavyosema, kwa mwenye hivi vitabu kwa soft copy itapendeza sana kama ntavipata.
1. Mushi, E.G. (2014). Administrative Law in Tanzania...
Certificates for sale
By Mkinga Mkinga , the Citizen 26 September
Do you want an 'original' national school examination certificate without having to sweat for it in an exam room? It's...
Habari zenu wanajf natumai mu wazima pia poleni na mihangaiko ya maisha
Nna jambo moja hapa naomba ushauri utakaofaa Kwa upepo wa sasa kuna mtu hapa ni mwalimu yupo ngazi ya Cheti...
Labda niiweke mada hii vizur ndugu zangu wa JF nimesikia maneno mengi kwa baadh ya watu ati Kusoma PCM ni kujichosha kwani suala la ajira hapa nchini kwetu ni ndoto
Kwa walio pitia njia hii...
Elimu lazima ishuke tusipokuwa makani walahi.
Darasa la wanafunzi 200 wanafanya mtihani kwenye chumba kimoja, madawati yamekaribiana sana, mwalimu/msimamizi/invigilator yuko bize na smartphone...
Mimi nilifanya mtihani wa form six kwa combination ya HKL nilipata division three but o level Nina c ya physics ,C, chemistry ,D ,ya biology ,civics ,B, English ,C, na mengine D , math ,F ...
Mabadiliko yaliyofanywa na baraza la mitihani yaani necta, hayaendani wala hayajategemewa kama kuwa itakuwa ni suluhu ya uboreshaji wa elimu yetu
Nashauri serikali wapitie na waangalie upya aina...
Nataka niende chuo cha nursing naomba mnisaidie kupa instruction za hivyo vyuo
Naomba ushauri nimepata three ya 24 nina phy D chem D biol C kisw C civ C engl C Geo D math D
Nina elim ya form six napenda nisome Diploma ya ( Network&hardware au Network security au Multimedia) naomba mnishauri ipi kozi mzuri zaid kat ya hizo na vyuo ambavo naeza kusoma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.