Tafadhar wana Jf naombeni msaada nahitaji kufahamu uwezo wa shule ya Sangu katika kutoa taaluma bora. Nina mdogo wangu ambaye anatalajia kujiunga na masomo ya kidato cha tano mwakani. Nilimuuliza...
wana jf, nimatumaini yangu kuwa wote ni wazima kabisa. Ndugu zangu naomba mnisaidie mishahara ya walimu ngazi ya cheti, stashahada, na shahada!!! Hii ni kwa wale walio serious jamani. Nawasilisha.
Inakuwaje wadau wenu wanapohitaji huduma mbalimbali mnazotoa ikiwa ni pamoja na kupata Statement of Result, uhakiki wa vyeti, uthibitisho wa uhakiki na taarifa, mblimbali zinazohusiana na huduma...
mashindano haya huwa mazuri sana hasa pale mnapofanya vizuri katika michezo, nakumbuka nimewahi kufika mkoani kwa uchoraji enzi zile,sema siku hizi wamebaki watoto wadogo wadogo,hata...
Yaani tumezaliwa tunazungumza Kiswahili lugha ya kwanza (wengine wetu). Kila siku tunazungumza Kiswahili. Tunazungumza sana Kiswahili mpaka tunajulikana pande ile kuwa sisi ni ile mitu iko na...
Habari Wakuu,
Nakalibia kumaliza usajili wa kusomea ACCA ile ya worldwide ambayo makao makuu yake yako London, Ila kwa hapa nchini wana branch yao pale posta.
Swali langu kwenu Je, kuna yeyote...
Namba ya ajabu ni π au Pi yenye thamani ya takriban 3.14. Inasheherekewa na wanahisabati na marafiki wa namba kwenye tarehe inayofanana na namba hii yaani Machi 14.
Pi inafafanuliwa kama uhusiano...
Wakuu nataka nikasome law ngazi ya cheti IJA. Nmeangalia kwenye website yao Hakuna taarifa zinazodirect namna ya kufanya application.
Kwa anayefaham naomba anisaidie utaratibu ukoje na Kama...
Kama akitokea professor akajenga hoja juu ya kuamzisha mtaala wa michezo hasa mpira wa miguu,na ikafanikiwa kuanzishwa,hapo ndipo unaweza kupima ujinga wa hali ya juu uliopo katika elimu ya...
Sekondary ya sangu ipo mbeya mjini, nje kidogo ya mji, wanafunzi wa kike wanavaa brauzi kwa chini ina malinda na suruali, ukiwaona watoto hawa hata asiye na shepu anavutia kwa sababu ya mavazi...
Itakua nimechelewa kusoma elimu ya chuo kikuu, nahisi nasoma kipindi ambacho waalim wetu wengi sio vipanga japo karibu wote wana shahada za uzamili na uzamivu.
Ngwe iliyopita nilikua na semester...
Wakuu,
Mtoto wangu kamaliza form four mwaka jana katika shule moja ya binafsi mkoani Mbeya na matokeo yametoka mwaka huu. Kafaulu vizuri tu. Alichukua form kwa ajili ya kufanya entry examination...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.