Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki mapema mwezi Februari imepokea fursa za ufadhili wa masomo ya muda mfupi na muda mrefu katika kada mbalimbali kutoka Serikali ya Jamhuri...
Wadau Kama kuna mwenye materials ya advance kwa kombi ya EGM naomba anisaidie kuyaweka hapa au app tofauti na thl tafadhali Kwa msaada tu wala isiwe kuniuzia. Ahsante Kwa Moyo wa kusaidia wengine.
Jaman wa jf hasa wenye upeo na hadhi ya vyuo vyetu hapa nchini ningependa kujua ubora wa hiki chuo cha kampala kilichopo dar es salaam.vp ukisoma unaweza uka compete na mtu aliyesoma mzumbe au udsm.??
Habarini wana JF, namba mtu anayefahamu site yenye free templates, web source codes anitajie.
Nilipata moja inaitwa sourcecodester ila wahindi mle wamefanya yao, unakuta code katikati imebanguliwa...
Mwenye uelewa na kupanda kwa boom kwa wanachuo,huwa linaongezeka kila baada ya miaka mingapi?
Kwa kuanza,miaka ya nyuma range ilikuwaje?
Karibuni kwa mjadala,sina maana nataka wanachuo waongezewe boom
Habarini wana jf ,
Ninamdogo wangu alimaliza o level miaka mi nne iliopita na hakufaulu kutokana na sababu mbili;
1. Yeye hakua na juhudi na hakua anajua anasoma ili iweke
2. Sababu za...
Habari za wakati huu ndugu zangu na wananchi wenzangu wa hiki jukwaa la kitaaluma habari za wikienda!
pasipo kupoteza muda mimi si mwenyeji sana wa mtandao huu tukufu ila lengo la kuandaa huu uzi...
Habari zenu wanajamii forums
Jamani naomba kuliza
Naomba munisaidie chuo cha udaktari ambacho kinapatikana kigamboni au kilicho karibu na hapa.
Kwa anaejua tafadhali anieambie.
Habari zenu wana JF,
Lengo la Thread hii ni kuwakutanisha wale wote wanaotarajia kuanza masomo ya Advance level mwaka huu.
Katika Thread hii tutapeana ujuzi, maswali na resources za kujisomea...
Habari zenu wanajamii forums
Jamani naomba kuliza
Naomba munisaidie chuo cha udaktari ambacho kinapatikana kigamboni au kilicho karibu na hapa.
Kwa anaejua tafadhali anieambie.
RC wa mkoa wa Lindi amefanya mkutano huo katika chuo cha ualimu cha Nachingwea
Amesema kuwa mkoa wake huo umeendelea kufanya vibaya kwa kushika nafasi ya 26 kati ya 31 ya mikoa ya Tanzania...
Giza nene lazidi kutanda kwa wahitimu wa chuo cha taifa cha usafirishaji mwaka 2017,Utata huo unatokana na uongozi wa chuo kushindwa kutoa majibu ya uhakika na kupigwa danadana ndefu juu ya utoaji...
Nataka kufanya mtihani wa form six private candidate Nina C English in language,C kiswahili,C literature in English, D civics,D biology, F geography,F history, F math.nitasajiliwa?
Hello JF,
Swala la elimu bure limekua na changamoto zake, watu wamekua wengi na sidhani hii kitu ita last.
Leo ningependa kuona mfumo wa kusoma unakua expanded,
Serikali I invest kuwasomesha...
Wanajanvi,
Naombeni kujuzwa kuhusu chuo cha VETA Shinyanga je wanatoa course za uendeshaji mitambo ya ujenzi zinatolewa pale kama grader au bulldozer, dumper, front loader.
Naombeni mnijuze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.