Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Do you believe in the Laws of thinking? Lets see what Plato said: "Socrates, in a Platonic dialogue, described three principles derived from introspection. He asserted that these three...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Salama wandugu, Naomba uliza credit za kwenda Advance kwa shule za private na serikali ??
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Nlikuwa mwalimu kwa miaka takrbn miaka minne serikalini nikaamua kukimbilia kwenye majeshi na nikafanya mafunzo kwa miaka miwili jeshi la kujenga taifa lengo ni kuwa zikitokea nafasi jeahi la...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Habari wana jf Nina mdogo wangu ambaye kamaliza form4 na akapata division 4 ya 28,na amekuwa akihitaji kuwa doctor but marks hazirusu kusomema course ya afya,nimemshauri arudie/kurisit...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Zipo tetesi kwamba leo tarehe 16/02/2018 mwanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es Salaam aitwae AQULINA AKWILINI BAFTAHA, amepigwa risasi na jeshi la polisi akiwa kwenye daladala, Duru zinaarifu kuwa...
3 Reactions
25 Replies
4K Views
Tanzania ilijipatia uhuru wake mwaka 1961 bila kumwaga hata " tone" moja la damu na hadi sasa sisi ni taifa huru. Swali linalonisumbua ni kwa nini baadhi ya vyama vya siasa hapa Tanzania huweka...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Nilipata wasaa kidogo baada ya majukumu yangu ya leo kutazama kipindi kimoja cha luninga kilichokua kinahusisha wadau mbalimbali wa elimu wakijadili chanzo cha shule za umma kufanya vibaya kuliko...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
hili Tangazo lilitoka mwaka 2014 wiki kama hii.......... "Vijana waliomaliza kidato cha sita mwaka 2014 ambao walipangwa kujiunga na JKT awamu ya pili nawana sifa za kujiunga na elimu ya vyuo vya...
3 Reactions
36 Replies
5K Views
Nina mtoto wa ndugu yangu ambaye naona ana akili sana licha ya mazingira ya kijijini kuwa duni. Sasa nahitaji shule ya boarding ya kawaida nimpeleke ili kumwendeleza kipaji chake. Yaani isiwe...
0 Reactions
4 Replies
915 Views
Nini maana axis of symmetry kutoka kwenye grafu ya quadratic function.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari zenu wana JF, Niende Moja kwa moja kwenye kilichonisukuma kuandika. Mtanisamehe si mwandishi mzuri, ila ujumbe naamini utafika. Elimu ya Tanzania ni Elimu ambayo kiukweli imekuwa...
4 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwa anayekifahamu chuo cha Mkomaindo Masasi Mtwara naomba anifahamishe. Mazingira yake, ubora wa wakufunzi wake na maisha ya pale chuoni kwa ujumla.
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Habari wandugu, Nilikuwa naomba kujua vyuo ambavyo viko Mtwara vile bora. Kuna binti mmoja anataka kusoma sasa kaniomba msaada na mimi sio mwenyeji wa huko wala sijawai kufika Mtwara na kaniomba...
1 Reactions
23 Replies
13K Views
Habari wana JF, TCU juzi wametangaza mfumo mpya kwa wanaotaka kuomba nafasi za chuo mwaka huu, ambapo kwa mfumo uliotangazwa, unamtaka mwanafunzi kwenda moja kwa moja chuoni kufanya application...
2 Reactions
113 Replies
16K Views
closed
0 Reactions
2 Replies
906 Views
Wadau naomba kujua watpto wenye maambukizi, wanaosoma /kufaulu elimu ya sekondari wanathaminiwaje, na kupokewa mashuleni kama wale wasio nayo?na treatment kwao inakuwaje-hasa ikizingatiwa ni suala...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Nina sababu kuu 3 1.Kanda ya ziwa yote haina chuo kikuu 2.Location ya Sengerema ni nzuri kwa kila idara 3.Population ya kanda ya ziwa ni kubwa sana, hivyo inatosha kuwa na chuo kikuu cha serikali...
1 Reactions
24 Replies
4K Views
Habari, natafuta tution centre za dar es salaan ili kujiandaa na kidato cha tano, masomo ni PCB. iwe na walimu wazuri.
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Heshima kwenu wana jukwaa Hapa ndo mahali pekee tunakutana na watu wa kila namna.na ngazi zote za elimu kwa nchi yetu, nisiwachoshe niende kwenye mada. Natambua kuna sababu mbali mbali hufanya...
2 Reactions
6 Replies
3K Views
Samahani wana jamvi. Naomba Msaada wa shule Kwaajir ya PC. Iwe nzury na Ada iwe nafuu kidogo Ikiwa Boding Au Day Sawa ila isiwe Dsm. Morogoro na Iringa first choice
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Back
Top Bottom