Elimu hasa kwenye shule zetu za umma iko taabani, viwango vya elimu vinashuka, shule zetu zimegeuka kuwa viwanda vya kuzalisha ujinga. Uwezo wa wahitimu kuchambua mambo na kujenga hoja sio wa...
Out of the candidates who sat for a qualifying test at CBE in a certain year, 75% were males. 54% of the female candidates failed and 70% of the male candidates passed. If 135 female candidates...
Jaman kama ilivo title mbona matokeo ya kidato cha nne huchelewa ivi tatizo nn maana kila mtu anatoa hoja zake kwa alie pata habar kamili aniambie tafadhali
Nashauri, serikali iandae walimu, wataalamu kisha waandae vipindi mbalimbali vya masomo, ambavyo vitawekwa kwenye CDs, flash nk, kisha wazisambaze shuleni hasa shule zenye uhaba wa walimu...
Habari wana jf, Mkombozi wa elimu kwa upande wa Pre-Form 5 na wanaosoma PRACTICAL kwa kidato cha NNE na SITA yupo kwa ajili ya kusaidia vijana mbalimbali, pia tunafundisha tuition kwa...
Kuna wanafunzi hasa waliokuwa wanasoma mbali walikuwa hawarudi nyumbani mpaka wanapomaliza Form 6
Wale wa Kigoma ,mwanza na Ngara huko walikuwa wakiaga nyumbani kwenda form 5 walikuwa hawarudi...
Tunatoa scholarships (ufadhili wa kimasomo) kwa wale wanaopenda kwenda kusoma nje ya nchi, kama China, Japan na Korea kusini.
scholarships hivi ni kwa ngazi ya Phd, Masters, Bachelors na kozi za...
Kwa wale ambao wanaplan ya kusoma Masters na PhD pale Mlimani ( University of Dar es salaam) kwa mwaka huu 2018 tayari wameanza kupokea maombi. deadline tar 30/05/2018.
Asalaam wana jukwaa.
Nimepata mshutuko mkubwa sana baada ya kugundua kuwa wanafunzi ambao hawakufanya kabisa mtihani Wa form 2 mwakajana wamewekewa matokeo ya kila somo na wamefaulu kuingia form...
Mechanical engineering specializations
This is a VERY BROAD subject, which OVERLAPS with lots of other types of engineering. However, the most common specializations of mechanical engineering...
Jamani naweza pata namba za Waziri wa elimu, au naibu waziri wake au hata Katibu mkuu wa Elimu maaana daa watu hawawajibiki wanachuo tunapata shida asee..Msaada jamani wakuu!
Naamini wote sisi ni wazima
Jana nmeona tangazo linatembea lihusulo uhamisho wa walimu wa secondary wa sanaa kwenda kufundisha shule ya msingi kwa lengo la kufidia upungufu wa walimu uliopo...
Wakuu za asubuhi, niende moja kwa kwenye mada.
Kuna rafiki yangu anayesoma Diploma in nursing mwaka wa pili sasa kanielezea hali ifuatayo.
Aliamua kusoma Diploma hiyo baada ya wazazi wake kuweka...
Naomba kujua ni shule gani maana binti yangu anapenda kusoma kombi hiyo.
Nataka nimpeleke shule ambayo wanafunzi wengi wanafaulu.
NB sihitaji shule za madhehebu ya dini ingawa kwa kutaja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.