Habari zenu wana jamvi na poleni na machofu ya mchana kutwa...
Kama kichwa cha habari kinavojieleza, naomba kujuwa kuhusu fani ya urubani gharama zake mpaka kufikia rubani wa ndege za umma katika...
Maagizo ya sasa ni kwamba Kama kuna mzazi ambae anataka kujitolea kutoa mchango wa kuisaidia shule fulani kwenye jambo lolote mchango wake huo upelekwe moja kwa moja na upokelewe na Mkurugenzi...
Samahanini wakubwa, vipi dirisha la kudahili wanafunzi kwa mwezi machi limeshafunguliwa? Naomba tujuzane maana wengine tupo vijijini. Ahsanteni! Mwaka wa masomo 2017/2018
Jamani majina ya uhamisho yametoka leo lakini bado yameacha maswali kwani ni machache sana na ni mikoa tisa tu ambayo ni Dar, Tabora, Geita, Mara, Moro, Simiyu, Mbeya, Kigoma na Kilimanjaro. Hata...
Jamani hizi shule za English medium zinajisahau sana kwa kulewa sifa. Mfano St. Lawrence imepoteza sifa mpaka inakufa sasa.
Blessed Hill sasa nayo inaelekea kufa kwa sababu dawati moja wanakaa...
Taifa letu Tanzania nadhani ni Taifa la kwanza duniani kwa kuongoza kupeleka wanafunzi wasiojua kusoma na kuandika sekondari; lakini pia kuchezea akili za wananchi wake katika masuala ya...
Kuna wazazi walijiwekea utaratibu wao wa kuchangishana Hela kwa ajili ya CHAKULA kwa watoto wao, Ila baada ya tamko hilo wameacha Kuchangia kwa kusema Raisi amekataza.
Kuna wazazi walijiwekea...
Why Should Teams Build
Their Emotional Intelligence?
No one would dispute the importance of making teams
work more effectively. But most research about how to
do so has focused on identifying the...
LESSON; NGUVU ILIYOJIFICHA NYUMA YA KITENDO CHA KUTENGA MUDA WA KUWA PEKE YAKO (ALONENESS).
Ni siku nyingine tena mwalimu anakualika kuendelea kupata chakula cha akili, ni imani ya mwalimu kuwa u...
Wakubwa shikamooni, vijana wenzangu habari zenu
Mimi nahitaji kusoma Air Traffic Controller Certificate ama dispatcher certificate hapa Tanzania.
Naomba mwenye ufahamu anisaidie ni college ipi...
Wanajamii naombeni msaada wenu nifanyenini ili nifanye vizuri katika mtihani wangu wa kidato cha sita niko kombi ya PCB na apa. Kichwani sina kitu saa nifanye nini ili nipate ata division three
Kuna application zimetoka mahali sa jamaa yangu anataka kuapply ila anashidwa sbb ya cheti chake cha form 4 kimepotea.ila vya form six,chuo vyote vipo na qualifications nyingine pia .ivi inakuaje...
Mtoto wangu alifanya vibaya mtihani wa kidato cha nne , sasa yupo anajipanga kufanya mtihani kama private candidate, masomo atakayorudia ni History, Geography, Kiswahili na Civics, nataka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.