Nafasi kumi za wanafunzi wa PC (private candidates ) zinapatikana ni kwa wale wa mkoa wa Kagera (Missenyi) walimu wapo wa masomo yote
Mawasiliano
0762125819
Habari zenu wakuu. Nahitaji mtu anaesoma (au ako na connnections) in one of the following colleges
The Amazon College
The Global College
Excellent College of Health and Allied Sciences
Ukitaka kuandika swali la kihesabu kwenye mtandao/website pamoja na zile symbols zinazotumika kwenye hesabu kwa lengo la kupata solutions kwenye mtandao unafanyaje?NISAIDIENI JAMANI NINA MASWALI...
Wakuu habari zetu?
Najua kila mtu humu alikuwa ana ndoto zake alipo kuwa mtoto ,anataka kuwa mtu fulani kulingana kwamba alivyomwona au alisimuliwa story akapenda.
Mimi nilivyokuwa mdogo...
Habarini wanajamvi. Naomba mwenye kitabu kiitwacho: WAAFRIKA NDIVYO WALIVYO kilichoandikwa na Dr. Malima Bundala anisaidie tafadhali. Hata kuelekezwa ni wapi naweza kukipata itafaa pia.
SHULE ZENYE BEI KUBWA TANZANIA
10. Morogoro International School (MIS)
Katika Shule ya MIS ada yake kwa mwanafunzi ni kati ya Sh 4.4 Milioni kwa shule ya Chekechea na Sh 17 milioni kwa elimu ya...
My name is Joseph, am here by
to find someone or company or organization or any kind of NGO'S to finance me on pilot course. If there is also a scholarship for pilot please alert me at these...
Waungwa habari za Jumapili, poleni na pilikapilika
Kama kichwa cha habari kinavyoelezea,
Naombeni anayesoma au anayefahamu mtu anayesoma chuo tajwa hapo juu anaisaidie mawasiliano yake nataka...
Kwa nia njema kabisa niwapongeze kwa kazi yenu ya kuelimisha, lakini kwa alichofanya mwalimu wenu au kiongozi wa msafara wa wanafunzi waliotoka Dar leo tarehe 12,1,2018 sio cha busara kabisa...
Mwalimu anatafuta wa kubsilishna kituo cha kazi yupo Kagera Kyerwa Idara msingi anataka kwenda
TABORA
KATAVI-MPANDA
RUKWA
MBEYA
SONGWE AU
IRINGA
CONT:0767854687
Au Pm
Matokeo ya kidato cha pili mwaka 2017 yalitangazwa tarehe 8/1/2017. Matokeo hayo yanaonesha ufaulu mzuri kwa shule za binafsi kuliko shule za umma kwani kati ya shule kumi zilizofanya vizuri...
Popote mlipo, kwa anayefahamu namna ya kuandika swali la hesabu kwenye mtandao anisaidie wadau, maana ninashindwa kwa sababu ya alama za hesabu mfano integral sign, etc
Ndg wanabodi sisi wazazi tunatakiwa kuwalinda na kuwaelimisha watoto kadri Mungu anavyotujaalia.Hivi karibuni imeibuka tabia ya hizi shule zinazoitwa English Medium, academy au vyovyote ziitwavyo...
Habar naomba kujua gharama za certificate kwa course ya IT pale UDSM. pia vigezo Mimi nina D3 NA B1 katka mtihani Wa form 4. Pia natamani kujua jinsi ya Ku apply na wakati gani wanaaza au vyuo...
Manispaa ya Bukoba imeongoza tena kwa Mara nyingine katika matokeo ya kidato cha pili 2017 yaliyotangazwa jana na NECTA.
Mwaka 2016 ilikuwa ya kwanza kitaifa na mwaka 2017 imekuwa ya kwanza tena...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.