Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Wakuu kama kichwa cha habari kinavo jieleza hapo juu, Tuliokosea kulipa pesa za form za mikopo ya elimu ya juu, tuliambiwa tuandike barua ziende HESLB ili tuludishiwe pesa zetu, tukaambiwa mwezi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Bodi ya mikopo yawajia juu wadaiwa sugu hili swala ni gumu jaman wadaiwa sugu tupo mtaani mwaka wa saba Ajira hakuna,ingependeza sana bodi ya mikopo ikashirikiana na serikali kuwapatia ajira...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Jaman hivi hizi dawa za PrEP = Pre Exposure Prophylaxis na PEP = Post Exposure Prophylaxis zinapatikana hapa tanzania? kwa anaejua naomba anielekeze zinapatikana wapi. nna hitaji tu kujua...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Nilikuwa nabishana na jamaa zangu hapa kuhusi yupi bora zaidi aliesoma diploma mbili za fani tofauti au aliesoma shahada ya fani moja kwa mfano mtu alianza kusoma diploma ya ustawi wa jamii halafu...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Ndugu zangu habari za wakati huu? Kati ya mapipa (tanks) haya, ni lipi unafikiri litakuwa la kwanza kujaa maji?
15 Reactions
553 Replies
45K Views
Habari zenu wana jf, naomba kufahamishwa gharama za ada kwa level ya masters katika chuo kikuu huria cha Tanzania.Mimi nataka kusoma kwa mfumo Wa masafa yaani kwa kimombo distance learning.kwa...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Wanabodi, habari za mwaka jana, Kila atakayepata nafasi ya kuongea na vijana wanaosoma vyuo awakumbushe ya kwamba maisha wanaoyodhani watayapata baada ya kuhitimu ni dhahania, wakumbusheni...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Ndugu zangu naomba msaada wa mbao za kufundishia kwa chaki ( movable blackboards zinauzwa wapi na sh. Ngapi). Nia malengo ya kusajili na kufungua tuition center.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kuna baadhi ya vyuo wanafunzi hawajaingiziwa boom la kwanza mpaka tarehe ya leo tunaomba Prof. Ndalichako lile darubini lako litufikie huku Central zone tunaumia sana hali ngumu kila siku kesho...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Top 8 Countries with the Highest Paying Jobs in Africa By Africa-ontherise - Oct 28, 2017 By Steve Siboe If you’re searching where in Africa you can find well-paying jobs, it’s always...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Boss wa TCU usipofanya kazi kwa ubunifu na SPEED ya awamu hii naona njia yako ipo WAZI. Nasema haya bila fitna wala chembe ya uonevu; 1. Vyuo vikuu visivyo na sifa bado vipo na vinadahili...
5 Reactions
13 Replies
1K Views
Wakuu naomba kufahamu kama nitajitahidi kuwekeza na kujiajiri katika uanzishaji wa shule ya awali. Kama kuna sheria na kanuni zozote ambazo zinatakiwa kufuatwa naomba kufahamishwa hapa. Pia msaada...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Habari wana jukwaa! Kuna ujumbe huu unawachangaya wanafunzi, na wengi wao wameshindwa kuuelewa! Sasa sijui ndio tayari yameanza yale ya Wanafunzi kukimbizana na serikali!! ⭐ TANGAZO....TANGAZO⭐...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari za mwaka mpya wanajukwaa. Husika na somo tajwa, mimi ni baba mzazi wa mwanafunzi ambaye alihitimu darasa la saba nikiwa naishi Dar nikifanya biashara ndogondogo kwa bahati nzuri mwanangu...
0 Reactions
7 Replies
7K Views
HABARINI ZA ASUBUHI WADAU!! Kama kichwa cha habari hapo juu tajwa!¡ Wenyekiti wa serikali za mitaa wanalazimisha watumishi wa umma wachangie michango ya ujenzi wa shule ilihali huyu mtumishi wa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu mimi nilisoma miaka minne UDSM 2009 to 2013 , Engineering. Sijawahi kufanya kitu na field yangu, ila nilijichanganya kwenye biashara zangu. Sasa hivi nikaona ngoja nipunguze kidogo deni...
3 Reactions
37 Replies
5K Views
Habari wana ndugu, kuna swali ambalo ningeomba kwa wale wataalamu wa Educational Management and Administration, kwa wale waliosoma Course ya Education UDSM ni EA300 ila kwa vyuo vingine sijui...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Nipo Makambako ni mwalimu wa Sanaa. Tumeshasota mtaani vya kutosha. Niliamua kufanya utafiti kuhusu Huduma ya tuition kwa wanafunzi wa QT, PC na computer application. Site IPO nzuri kabisa. Na...
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Naombeni mnaojua kwa mtu ambaye hajakidhi kigezo cha kujiunga na masters atafanyaje ili aweze kusoma/kujiendeleza katika chuo chochote hata kama open university. Na kama nikupitia postgraduate...
2 Reactions
33 Replies
10K Views
Kheri ya mwaka mpya wanajamvi. Nina ndugu yupo U.S nataka niende huko ila napenda kama nikienda basi niende nikasome katika fani ninayoipenda yaani mechanics sasa sijui kwa elimu yangu...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Back
Top Bottom