Habari
Nina mtoto(ndugu) anayetarajia kuingia kidato cha tano mwakani 2018. Kama mnavyofahamu sikukuu hizi ukizila vibaya ikifika January huna kitu.
Naombeni mnieleze vitabu navyoweza kuvinunua...
Niaje wadau husikA na kichwa cha habar hapo juu nimejitolea kufundisha physical geography ili kupata experience .topic Zote kama water mass.climatology, nk.ni free kabisa location ni shule ya...
Habari wakuu poleni na majukumu ya hapa na pale ningependa niende moja kwa moja kwa habari yangu kuhusu changamoto kubwa inayokikabili chuo cha ualimu tarime kilichochopo mkoa wa mara hiki chuo ni...
Nauliza naweza kupata Chuo kinachotoa certificate au diploma kwa sasa au mpaka nisubiri mwakani? Nijibuni wapendwa nataka nimpeleke Dogo maana naona kakaa tu. Ana D flat za kidato cha 4
Hivi punde waziri wa elimu sayansi na teknolojia anarajia kutangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha sita uliofanyika mwezi wa tano mapema mwaka huu.
Chanzo cha habari hii ni www.necta.go.tz...
Wakuu habari za mida...
Naombeni kujua ni matukio gani yaliwahi tokea shule ya eckernforde Maana Nina wadogo zangu mapacha wa kike nataka kuwapeleka pale wakaanze O-level lakin Kuna jamaa...
Serikali Leo Imetangaza Ajira za Walimu Tarehe ya Kuripoti ni Tarehe 27 Disemba 2017 hadi Tarehe 17 Januari 2018. kazi kwenu
BOFYA HAPA>>TAARIFA KWA UMMA
BOFYA HAPA>>WALIMU SHULE ZA MSINGI...
Habari zenu great thinkers! Mimi ni mwanafunzi wa chuo mwaka wa kwanza Mwaka wa masomo 2017/2018. Wiki mbili zilizopita tuliopata mkopo batch ya pili tuliambiwa tukasign ili tuweze kupewa fedha...
A.alaykum wakuu,
Leo hii nimepata taarifa zilizonshtua kutoka kwa mtoto wa jirani yangu mmoja aliyehitimu darasa la saba na kufaulu kwa kiwango cha 'C'..Taarifa hii ni kwamba yeye na wahitimu...
naomba kuuliza
-Mtu asiyejua hesabu anaweza kusoma course ya international business management (in Kenya au Tz)
-Je ni course gani inamfaa mtu asiyeweza hesabu na kidogo kuna uwezekano wa ajira...
Habari wana jamvi
Samahani ningependa kuvijua vyuo vya afya vya serikali, plz kama umesoma ama umewahi kukisikia chochote naomba nitajie katika huu huzi kisha nivichuje.
Je mtoto wa form IV...
Habar za leo wanabodi,
Straightforward to the topic;
Mimi ni mwajiriwa serikalini na ni mwalimu kiongozi (Mwalimu Mkuu) ktk shule fulani, kubwa lililonifanya kuja kuomba ushauri hapa ni kwamba...
Helo jf
i need to know the current syllabus for secondary school(o-level)
any one who knows which one is in use,help me, i want to buy for my young brothers as most students do not know what they...
wakuu mambo vipi ?
husika na title hapo juu kuna mdogo wangu anahitaji kusoma hiyo course lakini ameshindwa kupata chuo kinachotoa hiyo course kwaio anahitaji msaada wenu
Hivi karibuni nilisafiri kwa basi toka Dar mpaka KAMPALA kibiashara, nikiwa mpakani NAMANGA nilikutana na makundi makubwa ya vijana wa Kitanzania wakivuka mpaka kwenda Kenya na Uganda kwa ajili ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.