Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Wadau nazani mko njema katika mihangaiko ya kimaisha ikiwa ni pamoja na vyuma kukaza. Lengo la kuanzisha uzi huu ni kutaka kuomba msaada wa mambo ya research. Mimi ni third year hapa UDSM so...
4 Reactions
44 Replies
7K Views
Wadau habari zenu? Mwalimu akiomba ruhusa kwenda masomoni akanyimwa akaamua kujiruhusu akaenda masomoni akirudi atakuwa amesimamishiwa mshahara je inawezekana akarudishwa tena kazini na kuanza...
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Nipo mwaka wa tatu naenda wanne lakini sijui chochote kile ninachokisomea yani mi ni mtu wa kukariri kwa kwenda mbele pepa ikiisha nasahau vyote. Na semester ikiisha ndo kabisa nasahau kabisa...
13 Reactions
100 Replies
10K Views
Jamani nina shida na past papers za mathematics (o level ) na solution zake please mwenye nazo jamani
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hakika Uongozi wa Chuo cha usimamizi wa Fedha (IFM) umekuwa unawasumbua wahitimu kupata Vyeti vyeo. Usumbufu umekuwa Mkubwa na sababu wanayotoa kila ukifuatili ni System inasumbua. Najiuliza...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
O level haikua hivi, Maisha tulioish O-Level na rafiki yangu yalibadilika kabisa advance , kila mtu alijifanya mchungaji, sheikh, muumin wa kweli. Nilidhani ni shule yangu tu ila nikajaona maeneo...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Habarini za leo, Natumai mko poa na siku inaenda vizuri. Mimi ni mdau mzuri tu wa jukwaa hili na mara nyingi huwa napitia hapa kujifunza baadhi ya mambo. Leo nimekuja na hitaji langu kama kichwa...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Heshima kwenu, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza ningependa kupata mwanga kuhusu nafasi za masomo na udhamini hasa kwenye ngazi ya Phd kwenye vyuo vikuu vya nchini Canada. Kwa yeyote mwenye...
0 Reactions
4 Replies
884 Views
Kulingana na international zigzag line yako maeneo ambayo huwahi kuzifikia siku na maeneo megine huchelewa. Je kuna maeneo ambayo mpaka sasa yamefikia siku ya krisimasi na mwaka mpya?
0 Reactions
2 Replies
909 Views
Matokeo ya kidato cha sita kwa mwaka 2010 yametangawa rasmi. Unaweza kuyaangali yote kupitia website ya NECTA. Kibaha, Mzumbe, Ilboru, Marian zaongoza kama kawaida...
0 Reactions
57 Replies
30K Views
hello good people naomba mwenye kujua link/website yeyote ambayo naweza download vitabu mbalimbali vya college department ya community development anisaidie
0 Reactions
1 Replies
822 Views
Hello! Ukitazama wahitimu wa ngazi mbalimbali wanavyohangaika kujaza mafomu marefu marefu ili kuomba mkopo wa HESLB, unaishia kuona tu huruma. Ukweli ni kuwa vigezo na masharti magumu yalowekwa...
6 Reactions
48 Replies
7K Views
Hi guys! Mimi ninekuwa nikitamani siku nyingi sana kusoma nje ya nchi Masters degree ila kuna suala linanitatiza sana kuhusu IELTS (International English Language Testing System) sijajua naweza...
4 Reactions
96 Replies
15K Views
Et rafiki zangu Kati ya kozi tajwa hapo juu niipi the best pia ni marketable[emoji41] [emoji41] [emoji41]
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Explain key elements of development studies Hapa ndo nachoka kabisa
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Bodi mikopo Tanzania tunaomba mshughulikie tatizo la mikopo ya wanafunzi walioenda chuo tofauti na allocation za mikopo yao. Nilifarijika baada ya kumsikiliza Mh. aliyetoa taarifa kuwa...
0 Reactions
2 Replies
883 Views
Wakuu salama, Baada ya kumaliza chuo nimeona ajira ngumu nikaona nijikite kwenye uproducer wa music kwani ndo kitu. Ninachopenda sasa baada ya kujifunza vizuri kupiga kinanda na instrumental...
0 Reactions
1 Replies
930 Views
Kama uzi unavyojieleza apo ninusuru ewe Rafiki yangu, ndugu yangu, mwanafunzi mwenzangu, kaka yangu, dada yangu. Kutoka moyoni nimeshindwa kuelewa hii kozi na mbaya zaidi tumetangaziwa test. Ombi...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Taasisi ya Twaweza kupitia mradi wa KiuFunza (Kiu ya Kujifunza) ambao unatekelezwa kwa miaka 5 unalenga kumfikia mwalimu mmoja mmoja ambaye anaonyesha juhudi za makusudi kuwafundisha wanafunzi...
0 Reactions
1 Replies
950 Views
Back
Top Bottom