Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Mbaka sasa sijapata chuo,third round mbona sipaoni
0 Reactions
7 Replies
770 Views
Natumaini ni wazima wana JF, eti hostel ipi ni bora kwa mwanachuo mwenye malengo yake kati ya hostel tajwa
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habarini wakuu. Mungu akijaalia around this time mwakani nina mpango wa kufanya certificate ya MICROSOFT CERTIFIED SOLUTIONS ASSOCIATE (MCSA). Hivyo nataka niaze taratibu kujua A B C's za...
0 Reactions
2 Replies
812 Views
Wakuu kwa yeyote mwenye kuifahamu hii shule ya holy cross ya temeke ambayo mwaka huu 2017 imekuwa ya kwanza wilaya ya temeke ya kumi na moja kimkoa na ya hamsini kitaifa Nitashukuru kwa kueleweshwa
0 Reactions
3 Replies
4K Views
KINONDONI YAONGOZA KITAIFA MATOKEO DARASA LA SABA Wilaya ya Kinondoni imeongoza kitaifa mwaka huu 2017 katika ufaulu matokeo ya darasa la saba kitaifa, imeelezwa. Kwa mujibu wa taarifa...
0 Reactions
20 Replies
17K Views
Matokeo ya darasa la Saba yametoka! Hongera Kwa Ufaulu mzuri! Kitu ambacho kimenishangaza kidogo kwenye mikoa ambapo CCM wanapata Kura za bwelele bila kuiba au kutumia nguvu ndio mikoa ambayo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Salam! Wadau nimekuwa nikipata taabu sana ,hasa nikijiuliza hivi Elimu inapaswa kusimamiwa kwa hekima,umri,uzoefu ama kisayansi,kisera na kisheria. Kumekuwa na Sera nyingi mfano Sera ya Elimu ya...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
QuickBooks Essentials – 1 Day This intensive one-day training will equip you the ins and outs of QuickBooks so that you can take advantage of QuickBooks more unique features. By the end of this...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Samahani wakuu kama kuna uwezekano wa kuhama kozi na kama upo ni hatua gani unachukua ikiwa vigezo vyote vya kozi unsyohamia unavyo
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari wana JF! Mimi ni kijana wa kitanzania ambae July mwaka huu nimetimiza umri wa miaka 22 Nimesoma shule za government from primary mpaka advance nilihitimu kidato cha sita mchepuo wa PCM pale...
9 Reactions
91 Replies
9K Views
Hbari wadau naomba kuuliza hvi ni sifa zpi za kujiunga na chuo cha ualimu veta Kilichopo Morogoro mwenye uzoefu ni mwz gani wakutuma maombi na kuanza masomo.
0 Reactions
4 Replies
7K Views
Habari wakuu ningependa kufahamu kama kuna mtu anafahaamu chuo kinachotoa DIPLOMA in EDUCATION wakati wa likizo za jun na december au kwa private study
0 Reactions
5 Replies
5K Views
habari zenu wanajukwaa,kama tittle inavyojieleza hapo Juu kama unajua chuo kinachotoa diploma ya agricultural engineering naomba kujuza tafadhali. Asante
0 Reactions
1 Replies
2K Views
WADAU MSAADA JINSI YA KUBADILI KOZI NA KUHAMA CHUO IKOJE HIYO WAKUU.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kama Uzi unavyojieleza karibuni tushare experience zetu za pale shule kongwe na pendwa kwiro uboizin lengo ni kufahamiana, kukumbushana changamoto za pale na mazuri tuliyoyapata
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Link ya kujiunga na group ni Team DUCE 2017/18 Karibuni sana wadau
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Sorry wana jF, naomba msaada kwa anayejua je kuna possibility ya mtu mwenye diploma ya ualimu mwenye masomo ya kufundishia ya hesabu na chemistry kwenda kusoma degree Ya engineering kama civil au...
0 Reactions
1 Replies
489 Views
Jamani niliaply second round MUCE,DUCE ,UD ,UDOM na private saut na rucu iringa juz majna yametoka lakin nikawa sjachaguliwa vya selikali ila rucu ndo wakawa wamenichagua mpaka Jana vyuo vya...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
KAMA KICHWA KINAVO JIELEZA HAPO JUU WALIO PATA JOIN INSTRACTION TUDARCO, TUKUTANE HAPA
0 Reactions
0 Replies
607 Views
Niende wapi? naombeni ushauri. nimechaguliwa vyuo vinne nmesoma science PCB 1.bachelor of education in special needs>UDOM 2.bachelor of education in science>MUCE 3.bachelor of science with...
1 Reactions
104 Replies
8K Views
Back
Top Bottom