Hayawi hayawi sasa yamekuwa. awamu ya kwanza ya majina ya waliopangiwa mikopo mwaka 2017/18 iko tayari. BONYEZA HAPA kuona jina lako!
Link hiyo itakuelekeza moja kwa mja kwenye ukurasa wa ku...
Nina rafiki yangu kamaliza chuo atc telcommunication diploma Ana GPA ya 2.9 - lower second class je? Anaweza kuendelea kusoma degree au ndo mwisho wake umeishia hapo. Maoni,ushauri wadau mchana mwemA
Tangazo Tangazo
Kwa wale wote wenye shida ya kupata join instruction za udom unaweza kunifatafuta kwanamba 0656072347. Nitaidowlod nakukutumia kwanjia ya whatsapp garama ni shiling 500
Wakuu kama kichwa kinavyojieleza nimedisco mwaka huu na nimebahatika kuchaguliwa kwa mara nyingne UDSM nianze safari yng ya elimu kwa mara nyingne,nahitaji msaada wa maelekezo namna ya kulipia...
Bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu (HESLB) yapiga ramli, hicho ndicho unaweza kusema baada ya kutoa awamu ya kwanza ya majina ya waliopangiwa mikopo 2017/18 ambapo kati ya maombi 32,495...
habari wana jf mimi nimechaguliwa kusoma medicine udom second selection ambapo ni equivalent tuliambiwa tudownload adimission letter kuanzia tarehe moja mwezi wa kumi lakini cha kushangaza...
Wadau kati ya faculty ya Agronomy na General Agriculture ipi ni coz nzuri wadau nipo najipanga mwakani niombe lakn saiz nina dip general agriculture nipo najipanga kwani mwaka huu niliombea cheti...
natumaini wazima wa afya poleni kwa majukumu.kuna baathi ya vyuo hadi leo bado hawajaachia 2nd selection je kama wewe umeapply hicho chuo unawaambiaje wahusika!!povu ruksa
Habari wakuu.Nina mdogo wangu baada ya kukosa nacte kutokana na competition nlimuombea vyuo viwili Maji na st Francis ifakara.kapata water supply and sanitation engineering na kingine kapata...
Kuna wanafunzi wanaweza kukosa vyuo kutokana na mfumo huu wa sasa kwa vyuo kuwafanyia wanafunzi confirmation au kufanyiwa confirmation na watu wanaowafahamu ili kuwafanyia unyama wakose vyuo,kwa...
Amani iwe nanyi waungwana,kuna mshkaji wangu ameapply apo UDSM course ya Bsc in agricultural and natural resources economy and business, O level alipata maths C, geography C, chemistry C, bios D...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.