Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habar wana JF Kwa wale waliopata nafasi za masomo mwaka huu mbeya university tukutane hapa na kuelekezana mambo muhimu
1 Reactions
10 Replies
5K Views
Wanajamvi, admission letter ya udom kwa ma-undergraduate mitandaoni wataweka lini?,
0 Reactions
1 Replies
917 Views
Nimekosa first na second selection kwa upande Wa diploma ya ualim Wa sayansi kwa form 4 Nina credit ya 1.9 ( chemistry C,biology C,geography C,physics D, kshl C Language C ,CVS C na mathematics ni...
0 Reactions
46 Replies
5K Views
Jaman naomba tuzidi kuomaba, Mungu ameanza kionyesha mwanga...bahati nzur kat ya vyuo vilivyo anza kutoa majina...second...nimechaguliwa ...RUCU[emoji39] [emoji39] [emoji39]
2 Reactions
13 Replies
1K Views
The James P. Grant School of Public Health (JPGSPH) at BRAC University in Dhaka, Bangladesh is accepting applications for TDR International Post Graduate Training Scheme Master of Public Health...
1 Reactions
0 Replies
650 Views
Jamani hivi Utaratibu wa kuhama chuo kwa mwaka huu ipoje kwa anaefaham yan kutoka chuo kimoja kwenda kingne pamoja na kubadili kozi pia
0 Reactions
3 Replies
898 Views
Wakuu nauliza walio confirm udsm majina yametoka second round?
0 Reactions
1 Replies
893 Views
eti avn no katka applicatona za vyo huwa nn ama inatumikaje
0 Reactions
3 Replies
918 Views
Nimechaguliwa udsm lakinn jina halijatoka na Nili confirm wanasema tu selected first round Co tatizo?
0 Reactions
0 Replies
481 Views
jamani naombeni kwa anayefahamu join instruction muce anisaidie
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Anaeijua centre nzuri ya kusoma kwa "Private candidate o level" mjini Dodoma anijulishe. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau nimeamua kanzisha huu uzi ili tuweze kubadilishana mawazo kwa ambao wanaingia mwaka huu na ambao wapo tayari katika masomo ili tuweze kujua tusicho kifahamu ili tuweze kutoboa.
0 Reactions
38 Replies
6K Views
SECOND BATCH OF STUDENTS SELECTED TO JOIN UNDERGRADUATE DEGREE PROGRAMMES FOR ACADEMIC YEAR 2017/2018http://www.mwecau.ac.tz/index.php/2013-09-24-08-36-52/latest-news
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Msaada jamani kuna dogo kachaguliwa bachelor of art in geography and environmental studies.... Eti watu wanaosoma hii course wanaitwaje hapa Tanzania na wanahusika nini? Dogo anahitaji kujuzwa...
0 Reactions
4 Replies
807 Views
Tupeame experence hapa
2 Reactions
0 Replies
641 Views
Mwenye joining instructions plz naomba nitumie hapa link au PDF
1 Reactions
1 Replies
465 Views
Mwenye link ya chuo cha ruaha second selection msaada
0 Reactions
1 Replies
672 Views
Habari wakubwa, Mdogo wangu amesoma Bachelor of arts with Education,bahati nzuri amepata sponsor wa kumsomesha Masters. Naomba mnishauri course ipi ni nzuri kwa mtu aliyesoma Education. Yeye...
1 Reactions
8 Replies
5K Views
Habari Wakuu.. Binafsi ni applicant wa vyuo viwili....ambavyo ni Muhas na udom. Ambapo niliweka first choice MD vyuo vyote 01.Udom wameshatoa tayari sijaona jina langu kwenye ile list na kwenye...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Back
Top Bottom