Mbona wameishusha hadhi kwa admission points kama masomo mengine ya ufaulu wa chini? Siyo kama MD! Why?
Bachelor of Veterinary Medicine
Two principal passes in Biology/Zoology and Chemistry and...
Jamani wan Jamvi, napenda kuwashirikisha masikitiko yangu kwa hiki kilichotokea kwenye 2nd round admision ya vyuo vikuu na nitatoa mfano wa chuo kimoja.
Jumapili nilijisajili CUHAS na kabla ya...
Inashangaza kuona kuwa heslb walikuwa walikuwa wameahidi kutoa wanufaika wa mikopo kuanzia tarehe 10/10/2017. Baadaye bosi wao akasema watatoa katikati ya mwezi 15/10/2017. Lakini mpaka leo wako...
Habari zenu,
Kwa mara nyingine tena baada ya kukaa kwa muda mrefu bila kusikika,tumerudi kwa kasi isiyopimika.
Leo tunapenda kuzungumzia kuhusu sababu zilizofanya wanafunzi wengi wakose nafasi za...
Wakuu salama.
Naomba ushauri wenu kuna dogo anahitaji kusomea either Postgraduate diploma in social work au Masters.
Anaomba ushauri kuanzia marketability ya Course yenyewe (SOCIAL WORK) na...
Mimi ni mhitimu wa chuo kikuu cha Dar es salaam, naombeni msaada wenu wanajamvi kwa yeyote anayejua kozi ya 'Post Graduate diploma in pharmacy' ama inayohusiana na hiyo anisaidie, niweze anza...
Ni kweli MTU anaweza kuomba third round wakati majibu ya second round bado ! mpaka sasa vyuo Vingine havijatoa majina ya second round! mbaya zaidi tar 18/10/17 mwisho wa maombi awamu ya tatu...
Rejea kichwa cha habari hapo juu...ni miongoni mwa degree program zinazodharauliwa lakini yote nikutokujua umuhimu wa program kama hiyo katika maisha yanayotuzunguka. nakumbuka wakati nachagua hii...
TUME YA VYUO VIKUU TANZANIA (TCU)
TAARIFA KWA UMMA
Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) inautangazia Umma kuwa Awamu ya Pili ya
Udahili wa wanafunzi wanaotarajiwa kujiunga na masomo ya shahada za...
Hii Kwa Ajili ya Mwaka wa Kwanza Waliochaguliwa Cozy hii hapo... BSc Agronomy, ni Moja ya Degree programs Zinazotolewa na Chuo kikuu cha Kilimo Cha Sokoine.. (SUA)
Agronomy (Ancient Greek...
Mm nakumbuka mwaka jana nilikosa round ya kwanza nikakata tamaa lkn round ya pili nikapata, kuna rafki zangu walikosa bado baadae wakaja kupata vyuo hvyo nawasihi wadau msiwaze sana ila muwe...
Habhari zenyu wakuu! Nmechaguliwa kozi tajwa hapo juu, so naomba wenye ufaham na hiyo course uzuri wake ubaya wake na challanges zake pia na lolote lile muhimu kuhusu hiyo kozi naomba anijuze...
Tangu mwaka 2015 chuo kimekuwa kinajaribu kupandisha ghalama za kusujiliwa chuoni,
Walianza kwa kutaka kupandisha pesa ya kulipia kwa siku kutoka tsh 500 kwa kila mwanachuo had I kufikia tsh 1000...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.