Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Jaribu kutazama baadhi ya tarifa kutoka TCU na HESLB ninaamini zinakuhusu kwa kiasi kikubwa
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wana JF, msaada wenu wa kimawazo katika hii taaluma ya SHERIA. Ni kwamba, Police ana andaliwa kulinda usalama wa Raia na mali zake, Mwalimu kutoa duhuma ya Ufundishaji/Ualimu...
1 Reactions
1 Replies
873 Views
Mambo,Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu kwenye chuo husika hapo juu,kwa yoyote aliechaguliwa au anataka kujua kuhusu hicho chuo uliza,karibuni
0 Reactions
1 Replies
960 Views
Habari jamani tunawomba leo ikiwezekana mtoe majina ya second batch ili tujiandae muda umeenda tunawaombeni nawasilisha.
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Mimi nimesoma Arts.Ila naona kama vile walimu Wa Sayansi mambo yao ni mengi na magumu.Hata chuo kikuu wanasoma Kwa ada juu kidogo.Sasa ni kwanini Wanalipwa sawa na Arts???
1 Reactions
43 Replies
5K Views
wana JF NAOMBENI kwa anayejua tarehe rasmi ya second batch ni Lin mana tunachoka kusubir bila kuwa na taarifa rasmi au tamko kutoka TCU
0 Reactions
7 Replies
1K Views
TCU jamani tunaombeni angalau mseme chochote kuhusiana na second selection ya vyuo vikuu.Mbona mpo kimya sana?
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwa sasa watumishi wa umma wenye elimu ya chini wameonekana kudharauliwa mno mahala pa kazi huku mafanikio ya aina yoyote au kudorora kwa kampuni au shirika kunategemea hawa watu wa chini ambao...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Ndugu wanajamii forum nauliza hii programme ya forestry ya SUA imekaaje? Ina soko la ajira?
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Mwenye Taarifa zote muhimu kuhusu hiki chuo. Pamoja na mazingira ya jirani kwa ujumla.
1 Reactions
31 Replies
6K Views
kwa wale waliomba Udhamini wa masomo katika taasisi ya TSSF pitia hii link hapa chini News
0 Reactions
1 Replies
3K Views
AS SALAAM 'ALAYKUM WARAHMATULLAAH WABARAKAATUH JINSI YA KUJUA TABLE YA 11 KWA URAHISI MNO CHEKI HII
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Wale waloapply SUA (online application) vp akaunti zenu ukitaka ku log in nanyi zinaonesha hivyo, kwa walokuwa selected na ambao wameomba awamu ya pili? please tujuzane jamani.
0 Reactions
31 Replies
12K Views
Wakuu naomba msaada mtu kachaguliwa hizo program na vyuo tajwa,ipi yenye tija zaidi baada ya kumaliza kwa kipindi hiki? Hyo ya Udom in Bachelor of Education in special needs na DUCE ni Bachelor of...
0 Reactions
38 Replies
7K Views
Shule ya Waja Girls Iliyoko mkoan Geita Jana imefanya maajabu baada ya kuwazawadia wanafunzi wawili, Byera Kabaruka na Edina ambao waliingia katika kumi bora wasichana katika masomo ya sayansi...
2 Reactions
69 Replies
19K Views
Habar za humu wanajf , Mimi ni kijana nilimalza form 4 mwaka 2012 na kupata 4 ya 28 ,nimesoma MASOMO YAARTS .Matokeo hayo yaliniumiza sana na kunikatisha tamaa kiukweli.Sasa baadae 2014 nkaenda...
0 Reactions
3 Replies
813 Views
Kwa walioomba na kupata ARDHI UNIVERSITY je account zenu zinafunguka?
1 Reactions
1 Replies
619 Views
habari wana jamiii forum ni imani yangu mu wazima wa afaya ninaomba kujuzwa kujuzwa utaratibu wa maombi ya kujiunga na na chuo kama jeh muda ulio tolewa bado au umekwisha tafadhali msaaada juuu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Napenda kuwakumbusha undergraduate wote ambao mtaanza mwaka wa kwanza wa masomo ya chuo kikuu mambo machache: Hakikisha una set goals katika masomo yako yaani GPA unayotaka kupata. Simamia lengo...
11 Reactions
43 Replies
5K Views
Back
Top Bottom