Changamoto kubwa kwa mwaka huu wa masomo kwa wanafunzi waliomaliza diploma waliokuwa na lengo na ndoto za kuendelea na masomo kwa ngazi ya degree ni kukosa hii namba ya AVN.
Kuna sababu nyingi...
Kwa wanafunzi wa kidato cha kwanza hadi cha nne, waishio Dar es Salaam, wanaohitaji tuition ya masomo ya sayansi, fizikia, kemia na hesabu, wawe wanaishi Ubungo, Kibo, Mabibo.
Nafundisha...
kuna Mdogo wangu kachaguliwa kozi hii, vipi soko lake LA ajira mtaani hasa kwa wale ambao tayari mmeshahitimu shahada ya kozi hii?
Karibuni kwa ndondoo na taarifa mhimu juu ya kozi hii
Mkurugenzi wa Shule za Sekondari za Waja Mkoa wa Geita, Eng. Chacha Wambura amewazawadia magari wanafunzi wake waliohitumu Kidato cha Sita katika Shule ya Sekondari Waja Girls baada ya kutajwa...
Husika na title ya thread
Kwa yeyote mwenye uhitaji kufahamu undani wa kozi mbalimbali mnakaribishwa
Sample ya best option kwa baadhi ya kozi ni kama zifuatazo
TOP AND BEST COURSE
-Kozi zote za...
Wakuu mimi ni mwanafunzi niliechaguliwa chuo cha nit mwaka huu ningependa kusikia maneno ya wahenga mnaokijua chuo hiko kiuzuli na kiubaya na hata seemu ambayo naweza kupata msosi wa bei chee...
Mimi nimesoma DIPLOMA IN ANIMAL HEALTH AND PRODUCTION,nilipata GPA ya 4.3 na FORM 4 nilipata division 2 ya 21 sasa nimeomba BVM na ANIMAL SCIENCE CHUO CHA SUA,Je kwa ushindani uliopo naweza...
Mimi nili-apply MUCE...na nikilog in kwenye account yangu kuangalia selection...
Naambiwa sijachaguliwa,
Ila kwenye list ya waliochaguliwa MUCE jina langu lipo, nifanyeje wakubwa?
Habari zenu,ninaomba msaada maana na mimi ni mmoja ya tuliopata multiple selections
Kati ya Mzumbe na TIA(Dar) ni ipi inayotoa degree ya Human Resources mgt nzuri
Wanabodi kwanza poleni na presha za hapa na pale kwanza naombeni kuuliza hivi kozi ya BAED pale UDSM ni sh.ngapi
Je naweza kusurvive kuilipa iwapo nitapata asilimia 0 YA HESLB?
MSAADA JAMA
Wadau habari zenu mimi mwenzenu kuna jamaa yangu alikuwa hapendi Mimi nichaguliwe chuo baada ya kumwambia nimechaguliwa basi hakuwa na amani Lakini juzi nilimwachia simu yangu aingie net.
Ajabu...
Wanabodi Mimi natokea kijijin huko KALENGA mkoani IRINGA na nimechaguliwa UDSM lkn tangu nipo olevel nasikiaga kuna sehem panaitwa REVOLUTION SQUARE hivi eneo hilo linahusika na nini?
Tupen...
Msaada kwa mwenye ufahamu kidogo na hizi kozi QUANTITY SURVEYIN na COMPUTER ENGINEERING................
nahitaj kuchagua moja kat ya hzo(confirmation)....
So ipi may be nkichagua ctakuja kujitia...
Amani iwe nanyi viongozi.
Kwa wale wakongwe wa Pure Mathematics, naomba mtuweke wazi juu ya mbinu za kuimudu na kufaulu Advanced Mathematics Katika michakato mizima ya kusoma ili nasi tutoe...
Ninawapongeza sana wote waliochaguliwa kujiunga na kozi mbali mbali ngazi ya diploma ktk chuo cha UDOM. Hongereni sana sana.
Katika kufanya maandalizi kuelekea chuoni ni vyema tukapeana taarifa...
Yaani mmetutoza application fee kubwa 30,000/=. Then mnasema after malipo tu upload bank slip kwenye system yenu ndo mta activate account zetu. Tumefanya hivyo bado account hazifunguki. Hela yetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.