Hawar ya yote habar wana jf
. napenda kuweka wazi suala la hawa wadogo zetu(freshers) kukosa admision ktk first batch.
.. unakuta mtu ana ufaul wa kawaida bila kujar kuw kna walio faul vizur xna...
jamani nimechaguliwa kusoma degree udsm na nimeconfirm kujiunga ktk chuo hicho akini cha ajabu jina langu halipo katika list ya selected applicants katika chuo hicho nifanyeje jaman
Nisaidieni...
Habari wakuu?
Kwa wale mliochaguliwa SUA tu (ambao hamna multiple admissions) mkilog in kwenyea SUASIS mnakuta ujumbe gani? Mimi nakuta Admission process in progress until 30th August.
Hii...
Kwa yeyote anaejua kuhusu majina ya watumishi tulioacha vyetii vyetu NECTA kwa ajili ya uhakiki
Naomba kuyapata.
Asanteni
=======
Updates
Tayari Majina ya rufaa za NECTA yametoka
Angalia...
Open university wametoa majina ila hawajaainisha wale ambao wana multiple selections! Halafu wametoa majina siku ya mwisho ya ku-confirm!
Ina maana hakuna multiple selections kwa waliochaguliwa...
UINGEREZA: Wakufunzi wa Vyuo vikuu wabainika kujiongezea kipato kwa kuvujisha mitihani kwa Wanafunzi.
======
University lecturers are topping up their earnings by helping students cheat in their...
Jamani nipo njia panda naombeni msaada course ipi nzuri kusoma kwa kipindi hiki na kijacho kati ya flight operator/dispatch na airport operation/ground operation najua wapo waliopitia huko...
KIJANA wangu ana div 2 ya point 11 katika A level kwa masomo ya CBG, alikosa udahili/ admission ktk vyuo alivyoomba na kuandikwa neno BELOW CUT OF POINT, WENGINE BELOW OUT OF POINT.
Je hicho ni...
Samahan wakuu naombeni ushauri maana mpaka sasa hivi sijajua cha kufanya kutokana na kushauriwa na watu ambao hawajabobea katika field husika;
Naomba kujuzwa kutokana na soko la ajira ipi nikasome...
Bukombe/Dar: Hali ya elimu nchini inaonekana kuendelea kuwa mbaya licha ya ahadi nyingi za Serikali kuiboresha.
Mojawapo ya sababu za kuwepo kwa hali hiyo mbaya, inaelezwa ni mazingira duni ya...
Shukuru Kawambwa
The government is of the view that e-classrooms will bridge the shortage of 85,000 teachers needed in the sector and to achieve the goal saying classrooms are evolving from...
Wakuu naombeni msaada kwa yeyote mwenye soft copy (PDF) ya vitabu/kitabu chochote kilichoandikwa na Pastor Chris Oyakhilome anisaidie kwa kutumia either Uzi huu au Pm.
Pia kama kuna anayefahamu...
Wanajamii forum sijaona tangazo la TCU la vyuo vilivyobakiza nafasi. Inakuwa vigumu kujua wapi uombe na ukitaka kujaribu kila chuo si ni lazima ulipie. Au kuna kitu sijaelewa. Tujuzane tafadhali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.