Wanafunzi waliochaguliwa vyuo vya diploma na certificate za afya wanasubiri prospectus ili wajiandae na bado hawajui zitatolewa lini na wizara ya afya, au kwa yeyote anayejua kuhusu suala hili...
Wanafunzi waliochaguliwa vyuo vya diploma na certificate za afya wanasubiri prospectus ili wajiandae na bado hawajui zitatolewa lini na wizara ya afya, au kwa yeyote anayejua kuhusu suala hili...
Habar za muda huu naomba kuuliza je inawezeka kubadilisha coz niliyochaguliwa nikifika chuo nisome coz nyingine nb.Nimechaguliwa bachelor of commerce in tourism and hospitality management
Samahinini jamani....binamu yangu kachaguliwa kozi ya architecture Mbeya ila anaonekana hakuipenda sana na aliijaza tu kujazia nafasi....imetokea kumnyima raha kiukweli naomba mnisaidie in detail...
mimi ni muhitimu wa kidato cha nne mwaka 2016 na nilichukua mchepuo wa sayansi na nilipata daraja la pili(division 2) nilichaguliwa kujiunga na sekondari lakin ckuweza kupata wa kuniendeleza...
Habarini wadau.
Mimi ni mmojawapo wa waombaji wa vyuo mwaka huu, ila kutokea kipindi tumetuma maombi hadi kukaribia selection kutoka mawazo yanatawala kichwani ukizingatia na hali ya maisha ilivyo...
Mdogo wangu alilipia mwezi wa pili kurudia mtihani kidato cha NNE 2017,lakini mpaka sasa hajapata uthibitisho wowote ule,msaada wenu wakuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mie nimepata nafasi ya kusoma iyo course ya information system udom
Sasa naomba ufafanuz kidogo kwa mwenye ujuzi nayo
Nataka nijue soko lake la kazi
Saada plz
Habari zenu Wadau.
Nina Kijana wangu amepata ufaulu wa PPont 7 yaani BB Chemistry na Biologym na C Physics. Aliomba MD MUHIMBILI na UDOM na kote amekosa. Naomba Ushauri jamani . natanguliza Shukurani.
Wadau Mimi mwenzenu nipo huku kijijin chaka kbsa na ni mtoto wa mkulima kbsaa na cjawah kanyaga dar but napasikiaga tu sasa nmepata nafasi ya kupiga buku pale je chuo cha DUCE kuna hostel na je...
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Wizi kupitia mitandao ya simu
========Sehemu ya tatu ( wakala wanavyoibiwa ===============
Habari zenu wadau...
Habari wana jf,,, sorry kama kuna mtu analijua shirika lolote linasave mtu may be kumsomesha then anakuja kufanya kazi kwao kwa miaka kazaa,, anasaidie info zao... Coz nimepata chuo china. Sasa...
Mimi natambua kuna mengi hujapata kuyajua bado.Katika channel yetu ya Youtube tumeongeza video nyengine wiki huu.Video ni kali sana Usikose kutazama.
Tusachi youtube kwa jina la Microfensho
au...
Napenda tukutane wote wenye qualifications za diploma waliomba vyuo mbalimbali mwaka huu 2017/2018 na either wamechaguliwa au laa pia kama yupo aliyechaguliwa kwa awamu ya kwanza atujuze pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.