Habar zenu wana jf
Udsm kwenye profile yangu wamenichagua na hawajanipatia option yakuconferm lakn kwenye oorodha ya majna ya waliochaguliwa ama kwenye multiple selection simo
Lakn pia udom...
Wadau wa JF nahitaji kujua kama inawezekana na kukubarika kwa mwanafunzi ambaye tayari amedahiliwa kwenye chuo kimoja tu,lakini course aliyopata hakulizika nayo.Je na yeye anaweza Ku reapply ???
Kwa wale waliokosa nafasi za masomo kwa ngazi ya cheti,diploma hata degree msipanic, walioapply kwa Mara ya wavute subira pia, wenzangu kama mimi tunaisubiri mwakani tusubiri bila kupanic...
Jamani msaada wana jf kwa ambae anayo joining instruction ya chuo cha TIA ya dar, maana kuna kijana wangu kachaguliwa hapo.
Anasema akiingia kwenye website yao wanamletea ya mwaka Jana...
habari wakuu !
nimekuwa mdau mzuri wa jukwaa la elimu mara baada ya kutoka kwa
matokeo ya vyuo vikuu.
katika pita pita zangu nimemuona
wervemarcel akijaribu kutupa updates za admissions japo...
Naombeni ushauri kwenye profile yangu ya udsm inaonyesha nimechaguliwa in multiple universities nikaconfirm mapema leo nacheki list ya majina kwenye cozi ya computer science kote kwenye wenye...
TANGAZO
SHULE YA SEKONDARI ARUSHA MODERN CHINI YA UONGOZI
THABITI KATIKA KUTOA ELIMU BORA NA NIDHAMU KWA WANAFUNZI, INAWATANGAZIA NAFASI ZA MASOMO KWA KIDATO CHA KWANZA 2018 KWA MITAALA YA NECTA...
Mwanangu yupo kwenye kundi la multiple admission kwenye vyuo hivyo, kwa UDSM amechaguliwa B. com in Tourism and Hospitality Management na anatakiwa athibitishe tar. 10/Oct. na UDOM amechaguliwa...
AVC - Award Verification Code.
Habari yenu.
Nahitaji kufanya AVC kupitia [http://41.93.40.136:8080/navs/]: Ila kila nikijaribu kuingiza Username & Password inasema haziko valid. Nilijisajiri...
Habarin wadau samahani waliosomea hiyo fani au wanaojua chochote kuihusu hiyo fani naomba mnisaidie kuna mdogo wangu wa kike ametemwa kwenye application za NACTE anafikiria kuomba hiyo koz mwakani...
Habari za muda huu wana Jamii forum,
Mimi ni kijana ambaye nimechaguliwa chuo cha maji ngazi ya stashahada kozi ya Water Supply and Sanitation Engineering mwaka huu.
Naomba mchango wenu wa tsh...
Mimi nimejisajili na kufanya application mwezi huu sasa kila ninapo fungua SARIS naambiwa invalid username na password wakati nimeweka vyote sahihi anayejua anijuze tatizo nini
Samahani wana jamvi.naomba kwanza nitangulize pole kwa majukumu mliyonayo.
Naombeni mnisaidie kati ya hizi kozi mbili niende kuchukua IPI?
1.Bachelor of education in counselling & guidance...
Ndugu zangu kuweni wapole vyuo vitawasiliana nanyi kuwapa taarifa juu ya kuchaguliwa kwenu.Zoezi hilo litafanyika mwezi wa kumi hiyo habari ya nacte kuwaambia masomo yanaanza tarehe 25/9/2017 ni...
Ndoto za kufika UDSM kwa wanafunzi wa form six huwa ni zaidi ya asilia 98 kwa wanafunzi wote hizo asilimia 2 zilizobaki ni wale wanafuzi amabao hutarajia kusomea mambo ya kilimo na ufugaji kwa SUA...
Habari ya weekend wapendwa?
Iko hivi nipeni utofauti na maana kwa kiswahili hizi ngazi katika usomaji vyuoni.
post graduate degree
under graduate degree
post graduate diploma na
undergraduate...
Jana mlisema mmefungua dirisha la wanafunzi waliokosa chuo waombe cha kushangaza mpaka leo wakiingia kwenye profile zao hakuna sehemu za kuedit ili waapply upya kozi zenye nafasi na muda unaenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.