Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Jamni naombeni mnisaidie kwa waliokosa vyuo awamu hii ya kwanza je huwa kuna majina mengine ambayo hutolewa maana tunaskia mengi mtaani au ni kuaply tena tu
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mi nmeota labda haya magumash wanayafanya ili MKULU AWAONEE HURUMA ili ajue HUU MFUMO NI MBOVU ili MFUMO WAO WA ZAMANI URUDISHWE waendelee KUPIGA PESA kutoka vyuo dhaifu najiuliza Kwann wasitoe...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Mtao chaguliwa ardhi au udsm Coet jiandaeni maneno ya dhihaka kutoka kwa bibi wa udsm anaitwa madam theresia kama sikosei. Anavunja wanafunzi moyo balaa ,,ana maneno machafu machafu mpaka utajuta...
2 Reactions
24 Replies
3K Views
kati ya kozi tajwa apo juu ipi inauwanda mpana wa kujiajiri au kuajiriwa karibuni kwa maoni.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
WALIMU WAJIONDOA CWT NA KUUNDA CHAKAMWATA CHAMA kipya cha Kutetea Haki na Maslahi ya Walimu Tanzania (CHAKAMWATA) kimesajiliwa rasmi na kupata cheti cha usajili wa kudumu kutoka Wizara ya Kazi...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Napenda tufahamu kama kuna division 2 Wa PCB ambao mpaka sasa bado hawajapata selection. Je tuwashauri wafanyeje kama wapo?
0 Reactions
43 Replies
6K Views
Napenda kuwakaribisha watu ote wenye qualification kwenye faculty hii..pia nakaribisha maoni kuhusu hii fuculty,,,nawasilisha
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wana JF, nauliza ni vipi unaweza hama chuo ambacho umechaguliwa lakini hujaridhika nacho kwenda chuo kingine? Naomba kusaidiwa muongozo wa kuhama chuo kwa mwaka huu 2017/2018
1 Reactions
9 Replies
5K Views
Nataka kufahamu kati ya hizi course zinazotolewa Chuo kikuu cha Ardhi ipi ina maslahi zaid kati ya Land management and valuation na Building economics?
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Ndugu zangu samani naombeni msaada. Mrs wangu amehitimu diploma ya ualimu mwaka huu open university na anahitaji kuunga degree na hadi sasa haijajulikana utaratibu ukoje. Tafadhali naomba...
0 Reactions
7 Replies
834 Views
Habarini wanajamvi, Mimi nina GPA ya 3.9 undergraduate, Niliapply Master of Education UDSM. Nimecheck matokeo naona wamenitema, Na wazoefu wadai si rahisi kutemwa kwa GPA hii. Kuna uwezekano...
3 Reactions
147 Replies
31K Views
Naomba kwa mwenye kujua nawezaje kufika coict yaani nipande daladala ya wapi yaan full maelezo ya kufika CoICT Natanguliza shuƙrani.
0 Reactions
14 Replies
6K Views
Wadau je kuna ukweli kwamba kwa wale wa second year wanapoenda ni lazima wakapange???????
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Zamani tcu ilikua inatoa nafas online je kwa sasa tunaomba kupitia vyuoni tema
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nilijua lengo ni kupata cream ya wanafunzi kielimu kwa ufaulu, lakini naona hata wale cream wengine wameachwa kuna mtoto wa kike wa rafiki yangu alipata cream hasa ya ufaulu wa sayansi kwa maana...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kuna mdogo wang amechaguliwa katika iko chuo mapema tu tena katika batch ya kwanza lakni cha kushangaza mpaka leo hakuna dalili ya kupatikana izo form. Kama kuna mtu alisoma katika iko chuo au...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Natumaini mko poa Wanaforum. Naombeni ushauri Kati ya Bachelor Of Accounting & Finance na Bachelor Of Accounting ipo ni nzuri zaidi. Maana Nimechanganyikiwa Kidogo Kwenye Kuchagua I hope...
0 Reactions
44 Replies
23K Views
Kikoje hiki chuo nimekiona sehemu ila sijakielewa ,kama kiko poa nataka nipeleke mtu akasome huko
0 Reactions
49 Replies
9K Views
Jamani kwa watu wa diploma waliochaguliwa Korogwe TTC, joining instructions form zinapatikana kwenye link ipi au chuo kinafunguliwa lini?
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Napenda kuwakumbusha kuhusu Bodi ya mikopo na TCU. Mpaka sasa sina uhakika kama TCU imetoa majina ya wanafunzi wa Mwaka wa kwanza na mwezi wa kumi sasa pia kumbukeni Bodi ya mikopo haiwezi kutoa...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Back
Top Bottom