Nimechaguliwa kujiunga na Chuo cha COTC Mtwara ila wanahitaji cheti cha kidato cha nne na mimi nimehtmu mwaka jana tu. Naomba mwenye kufahamu vyet huwa vinatoka baada ya muda gan...
Chuo Cha Mzumbe ( Mzumbe University) Ni Cha Pili Kwa Ubora Kikiacha MuhimbilI Nafasi Ya 3.
Nimeona Kwenye Top Ranking Universities
In East Africa 2017
Heko Mzumbe.
Binafsi, Nilikuwa Jirani Wa MU...
walioomba nafasi katika chuo cha St.John's waingie katika website ya chuo www.sjut.ac.tz kuangalia yafuatayo..
1. waliochaguliwa na kuthibitishwa na TCU
2. Walioomba na kuchaguliwa lakini...
Mfano nimeomba vyuo viwili nikachaguliwa vyote
Alafu nikakonfirm chuo kimoja.kuna haja ya kuweka maelezo kwenye chuo ambacho sijaconfirm?
Msaada tafadhali
Wajameni embu tusaidiane hivi ni kweli katika selection hizi zinazotoka katika vyuo mbali mbali je, kuna yeyote anayejua hizi higher learning institutions zitatoa 2nd batch ama ndio 1 st batch tu...
Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) inautangazia Umma kuwa awamu ya kwanza ya Udahili wa wanafunzi wanaotarajiwa kujiunga na masomo ya shahada za awali ulimalizika tarehe 30 Agosti 2017. Tume...
Nimemaliza kidato cha nne mwaka juzi sasa hivi nataka nikasomee account sijui nifanyeje wapendwa?
Jamani kweli naombeni ushauri masomo ni magumu sana au nikomae hivi hivi tuu
Kwa wenye uelewa na hizi kozi ushauri wenu unahitajika
1. Bachelor of arts in economics - ardhi
2. Bachelor of commerce in accounting - udsm
3. Bachelor of banking and finance - Ifm
Asome ipi...
Mm nimechaguliwa dsm hapo degree ya art in geograph and environment studies, lakin sua degree ya tourism management. Nishauli kuwa nielekee wapi, and nitaweza kuajiliwa maeneo kama yapi.
Je ukiambiwa names mismatch ufanye nini ili uendelee kupata nafasi katika chuo husika 2017/2018 au ndo basi tena au ndo uombe tena katika second selection?
Uombe udahili wa mara ya pili?
Naomba...
Matokeo ya ndugu yangu haya hapa,amekosa nafasi NACTE.
Kwa programme na vyuo vilivyowekwa sasahivi hana sifa je afanye nini ili ndoto zake zitimie.
CSEE (O' LEVEL) QUALIFICATION DETAILS:
SN...
Nina hili swali la assignment nimekwama kidogo nianzie wapi,na pia nitumie reference zipi ambazo nitaweza kuzichambua vizuri ili kuendana na swali jinsi linavyotaka... naombeni suggestions wakuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.