Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Naombe nieleze maana rafik yang kachaguliwa hiyo
0 Reactions
6 Replies
2K Views
wakuu kuna mdogo wangu anapenda sana kujiunga na hiki chuo... Jina lake lime onekanAa UDSM kwenye multiple selection.... Kati ya course code anazoonekana kuwa amekubaliwa ni DMI02 ambapo bila...
0 Reactions
0 Replies
756 Views
mnaendeleaje wadau nimechaguliwa kusoma Bachelor of Science education ( ICT and Mathematics) mzumbe. kwa anayeijua naomba ushauri msuli wake ukoje?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Amechaguliwa Account IFM na Tax ITA institute of tax administration cha TRA aende wap ila anampango pia wa kusoma CPA
0 Reactions
6 Replies
3K Views
wakuu mada inajieleza, nmechaguliwa multiple selection kwa vyuo viwili course tofaut yaan pharmacy na Veternary medicine, course ipi iko poa zaid na yenye wigo mpana wa ajira, mwenye uelewa mzuri...
3 Reactions
44 Replies
4K Views
Naombeni nisaidiwe tofauti kati ya izi degree programme Bachelor of industrial engineering ya udsm na bachelor of industrial engineering management ya Mzumbe ili niweze kumsaidia mdogo wangu kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Bila shaka wale wote mliofanya application mwaka huu mnaona usumbufu uliopo tofauti na kipidni cha nyuma mpaka sasa ingekuwa ni wachache tu ambao hawajapata chuo na ni hao tu ambao wangekuwa...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Habari zenu na amani iwe nanyi.Wakuu,nilikuwa naomba kusaidiwa mwanga kidogo juu ya hii. Nilichagua kitivo cha BA of Anthropology pale Udsm lakini sijaelewa inahusu nini hata katika soko la ajira...
1 Reactions
46 Replies
10K Views
Kwanza nawasalimu wote na ninawatakia weekend njema. Back to the topic. Nimekuwa nikifuatilia mijadala mbalimbali kuhusu taaluma hizi mbili zenye mvuto sana, hasa kwa vipanga wengi ambao huziota...
0 Reactions
58 Replies
18K Views
Habar za mudaaa huu wakuu... Nimechaguliwaaaa IFM kusomaaa BACHELOR OF SCIENCE IN SOCIAL PROTECTION.. ina deal na nin hasaa... Nahitaj ufanunuzi wakui...
0 Reactions
14 Replies
10K Views
Basi wakati Niko kwenye daladala moja kwenda kwenye mihangaiko ya kila siku, nipo kwenye siti ya dirishani ninaangalia nje kuwaza mambo mbalimbali Akaja mtoto mmoja mdogo tukawa na mazungumzo kama...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari ndugu zangu. Nina mdogo wangu aliyemaliza form six aka-apply diploma ya Law na Procurement and supply katika vyuo viwili tofauti. Kote amechaguliwa, sasa nataka tumshauri = ipi ni nzuri...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Habar wana jf..naombeni mnijuze kuhusu hiyo course automobiles..je inadeal na nini na nini na je vp upatkanaj wa ajira mwenye kujua anijuze asanteni
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Ndugu zangu nina tatizo moja ambalo katika maombi yangu ya mkopo ambapo nimeshauriwa njia nzuri ya kulitatua ni kwenda makao makuu ya HESLB. Tatizo lenyewe ni kwamba nilituma cheti ambacho...
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Habari za asubuhi. Nimemaliza diploma ya sheria nikaomba vyuo vitatu, ila nimechaguliwa UDSM peke yake BBA. Naomba mtu aliyesoma BBA UDSM ama yeyote mwenye uelewa kuhusu hii course anisaidie...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Majina ya wanafunzi waliochaguliwa yapo kwenye hii Link dmi.ac.tz/bachelors-degree-selection
0 Reactions
3 Replies
10K Views
Natanguliza shukrani kwa mwenyez Mungu Kisha kwenu wana jukwaa Ninaomba msaada kwa mwanajukwaa wenye ufahamu juu ya hili jambo, Nimechaguliwa chuo kikuu cha dodoma [bachelor of arts in...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Kwanza kabisa nawakaribisha chuo kikuu cha ARDHI. Aminini mmechagua sehemu sahihi ambayo wachache hupata fursa. Lakini chuoni kuna uhaba wa malazi,unapokuja kichwani uwe unajua hilo.na huenda...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Kuna baadhi ya kozi pale mzumbe husoma kwa kupokezana. Yaani wengine wakiwa chuoni, wengine wanakuwa likizo, kisha waliokuwa chuoni wakienda likizo, ndipo waliokuwa likizo wanarudi chuoni. Je kwa...
1 Reactions
13 Replies
4K Views
Hii ni kwa ngazi zote certificate, diploma na degree. Unakuta kila chuo kinanng'anng'ania mwenye division one/two na ukumbuke mwanfunzi x anayechaguliwa kwa sababu ya ufaulu wake mzuri, ndiye huyo...
12 Reactions
68 Replies
8K Views
Back
Top Bottom