Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
msaada wa maelezo kwa yoyote anaefaham kuhusu hii course kuna ndugu yangu kachaguliwa sielewi hata pa kuanzia
0 Reactions
8 Replies
887 Views
Habari wakuu... Zikiwa zimebakia siku 6 kwa mujibu wa NACTE kutoa majina kwa waliochaguliwa kusoma cerificate na diploma kwa vyuo vya afya.... Lengo la kuanzisha thread ni kwa mambo makuu...
5 Reactions
124 Replies
17K Views
Wakuu, maneno mawili ya kingereza hayo kwa tafasili isiyo rasimi ni "SHULE YA KIHINDI". Je! Katika zama hizi bado kuna shule za namna hiyo ambazo ni dhahiri zina viashilio vya ukabila? Shule...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wana JF, Tumejadili vitabu tulivyosoma 2014, wengi wetu tuna muda mchache wa kusoma na tungependa kuutumia muda huu vizuri kwa kusoma vitabu vizuri. Ningependa kujua mngependa kusoma vitabu gani...
3 Reactions
18 Replies
3K Views
Wadau ii coz ya optometry inahusu nn zaid...na Ajira zake vip
1 Reactions
6 Replies
1K Views
hivi nlikua naomba mnitonye habar ya mtu aliyepata mkopo kwa div 2 au 3
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Habar wana JF, . napenda kufaham kwa kina kuhusu course itolewayo UDSM ambayo ni BA in law enforcement. Pia ina utofaut gani haswa na B of law. nawasilisha wadau wenye uelewa kwa hilo
0 Reactions
0 Replies
879 Views
Ndugu wanajamii forum Nina ndugu yangu amechaguliwa chuo cha afya Kilimanjaro ,kama kichwa kinavyojieleza naomba kufahamu kuhusu ufadhili wa wanafunzi wa diploma za afya..inakuaje kwa aliyepitia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mimi ni mhanga wa kutafuta chuo bora ambacho naweza pata chuo chenye ubora na unafuu nipo mwanza sasa mazingira ya kazi yamenibana ndiyo maana nikaona nije hapa jukwaani nipate ushauri though...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari yenu wakuu!! wakati huu tukisubiri kutumiwa kwa joining instruction ya dental Laboratory Technology Muhimbili, ningeomba tupeane experience kidogo kwa wale ambao ni wazoefu kwa ngazi ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimeleta kwenu wakuu wa jamvi. Kuna rafiki yangu wa karibu na kama dada yangu tokea jana analia kabisa kakosa chuo, anacholalamika yeye anapoint 11 kapata div2 kamaliza Hkl lakina aliomba UDSM na...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Naomba kuuliza je kwa GPA hiyo hapo juu naweza kupata ARDHI UNIVERSITY?
0 Reactions
19 Replies
3K Views
wakuu nilikuwa naangalia TBC1 habari mda huu, Waziri wa elimu prof. Joyce Ndalichako ameyasema hayo maneno kama kichwa cha habari kinavyo jieleza. Saizi bado mchakato unaendelea subra ni kitu cha...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Yaani kama una hasira unaweza pigana na watu kabisa! Utakuta mtu amekaza hadi shingo kwamba CUHAS ndo chuo bora, mwenzake wa upande wa pili naye amekomaa MUHAS ndo chuo bora, huku kwa wenzangu...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari Wandugu poleni na majukumu nimeamua kuanzisha ukurasa huu kwa wale waliochaguliwa Rucu kupeana updates mbalimbali zikiwemo za suala la makazi huko chuoni tunakokwenda, kujenga udugu kwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
NDUGU ZANGUNI ,NAOMBA MSAADA JINSIYA KUAPPLY SECOND ROUND ,JE TUNAINGIA KWENYE CHUO HUSIKA KWA KU LOG IN KAMA MARA YAKWANA AU KUNAJINSI MPPYA..... PIA NIMEINGIA VYUO VIMEFUNGA ADMISSION ,WAKATI...
0 Reactions
2 Replies
833 Views
Salaam wakuu, ni kweli kwamba elimu ina majina mengi mazuri na ya kuvutia sana, lakini hakuna tena uhalisia wa hayo maneno kwa sikuhizi. Daah hakuna hatua yenye nafuu walau kidogo yaani kila...
3 Reactions
24 Replies
3K Views
Kwanza hongera kwa shemeji zangu sasa natumaini dunia kama si tanzania wanajua kwanini ttumejzana pale NA SI KWA KUBAHATISHA KAMA WANAVYOTABIRI NA CHAKULA SIO WALI /UGALI BALI ONGEZA NA NDIZI UWE...
8 Reactions
117 Replies
10K Views
Ni course gan kwa arts zenye soko zaid wadau
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama unataka kuomba chuo kwa awamu ya pili baada ya kukosachuo unaomba kwa gharama ileile ya awali au nyingine
0 Reactions
1 Replies
807 Views
Back
Top Bottom