Zamani Vyuo vingi vikuu vya kufundisha udakaktari vilijengwa ndani ya hospitali kuu (za rufaa) kama vile Muhimbili, KCMC, na Bugando, na vilikuwa vinafundisha wanafunzi wachache sana. Lakini hivi...
Habarin ndugu, kwa walio chaguliwa ordinary diploma in clinical dentistry Tanga. Tufahamiane na kwa wakubwa zetu je hicho chuo ni kizuri kwa mazingira na hata elimu itolewayooo? Kwa mwenye uelewa...
Nimeona orodha ya Vyuo kutoka TCU ambavyo vimeruhusiwa kudahili wanafunzi wa Undergraduate kwa mwaka wa masomo 2017/2018.KIU sijakiona.Je,hakikidhi viwango vya kutoa Shahada ya Kwanza?
Nina...
Mdogo wangu ameandikiwa multiple selection kwenye profile yake na kwny majina ya waliochaguliwa jina lake halipo. wala hakuna sehemu iliyoandikwa confirm.nifanyaje hpo naomba ushahuri
TANZANIA na Hungary zimesaini mkataba wa miaka mitatu wa ushirikiano katika sekta ya elimu, huku Hungary ikiongeza nafasi za ufadhili wa masomo kwa Watanzania kutoka kumi hadi 30.
Hafla ya...
Salaam wakua nauliza, ikitokea umejiunga open baada ya muda kabla ya kuanza masomo ukaomba kuahirisha kidogo, je ukitaka kuendelea sasa una haja ya kujisajili tena,? Au unawaarifu tu...
Urafiki kati ya Mshumaa na Binadamu kidogo ni urafiki wenye kutia mawazo mengi na viulizo vingi kichwani..? Maana urafiki huu wa binadamu na mshumaa hutokea tu pale ambapo giza huingia, wakati wa...
Nashauri baadhi ya wakufunzi wa vyuo vya elimu za juu watumie JamiiForums kama moja ya materials ya kujifunza kwa wanafunzi wao au wao wenyewe maana naona imekuwa kama google nowdays kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.