Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari zenu wakuu... Eehe bhana kuna changamoto moja inanikabili.. Ni kuhusu ule mkopo wanaotoa kwa wale wa diploma za CLINICAL MEDICINE. Ishu iko hvii unaingia mkataba na serikali baada ya...
0 Reactions
1 Replies
718 Views
Habari za mihangaiko wana JF, naomba kuuliza ni chuo kipi naweza kusoma ADVANCED GRAPHICS DESIGN kwa Dar es salaam?
0 Reactions
0 Replies
871 Views
Naomba kujuzwa majina ya waliochaguliwa vyuo vikuu yanawekwa kwenye site za vyuo walivyoomba,au TCU je kama yanawekwa kwenye site za vyuo walivyoomba je yanawekwa kwenye profile walizofungua...
0 Reactions
0 Replies
788 Views
Habari wadau, Naombeni msaada kwa anayejua shule nzuri ya watoto (English medium) kwa maeneo ya Tabata na kinyerezi au jirani na maeneo haya!! Nataka nimpeleke mtoto wangu ana miaka 4 na nusu...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Kwa taarifa inasemekana kesho tarehe 2[emoji830]10[emoji830]2017 Ndio selection zitatoka kwenye vyuo vikuu vyote nchini...
4 Reactions
94 Replies
8K Views
Mo Scholars Program The Mo Dewji Foundation is calling all first-year undergraduate students to apply for a fully-funded scholarship scheme. Students must be accepted to the University of Dar Es...
2 Reactions
26 Replies
7K Views
Kwenye ukurasa wa Facebook wa chuo wameweka picha za matukio mbalimbali ya kumuaga mkuu huyo huku picha hzo zikiwa hazijawekewa maelezo (caption) lakini kuna page za baadhi ya staff wamepost huku...
0 Reactions
11 Replies
6K Views
LIST OF APPLICANTS SELECTED TO UNDERTAKE POSTGRADUATE STUDIES FOR 2017/2018 ACADEMIC YEAR – FIRST AND SECOND BATCH | University of Dar es Salaam
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Hawa jamaa pamoja na kelele zote lakini kwa miundo mbinu kwa kozi za afy wamejipanga sana.Maktaba,maabara,walimu wa kutosha japo naambiwa wengi sio Watanzania na madarasa ya kutosha sikuamini...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Habarin wanajamvi. Poleni na majukumu ya kila siku kama ilivyo ada kujitafutia riziki ili mkono uende kinywani na watoto waende shule. Ushauri ninaotaka kuutoa kwa vyuo vikuu n kwamba wanafunzi...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Chuoni kuna maisha magumu sijawahi ona, nimechukua muda mrefu sana kumaliza chuo kwasababu ya sababu hizi; 1.UBABE, malecturer ni wababe hatari na mimi nilikuwa sipendi kabisa kuonewa, anataka...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyo jieleza, kuomba vyuo sio kwamba ndio utachaguliwa unaweza upate au usipate chuo ikitokea hivyo usikate tamaa angalia plan B inasemaje. Maana kunawengine...
8 Reactions
42 Replies
5K Views
Gpa 0.9 PASS CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'B' ENGL - 'B' PHY - 'E' CHEM - 'E' BIO - 'E' B/MATH - 'F' Chuo cha Certificate yoyote ile mwanamke matokeo yake ndio kama yalivyo hapo 2...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwa waombaji wa diploma
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu. Hivi ni ruksa kusoma degree na diploma kwa pamoja Vyuo tofauti.kimoja kiwe open university
1 Reactions
56 Replies
9K Views
Zikiwa zimebaki siku 6 majina ya waliochaguliwa kusoma undergraduate programs katika vyuo tofautitofauti kutangazwa rasmi, Napenda kutumia thread hii kuwakaribisha applicants wenzangu kutoa...
4 Reactions
115 Replies
15K Views
Wakuu naombeni kuuliza kuhusu hili.... Kwa chuo cha UDOM kama umechaguliwa katika diploma in information technology management unaweza badili kwenda nursing au laboratory
0 Reactions
7 Replies
2K Views
[4/27, 21:22] dj massawe: A: Orodha ya Walimu na Mafundi Sanifu Maabara Ajira Mpya. Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI inatangaza ajira ya wahitimu wa mafunzo ya ualimu na mafundi sanifu maabara...
0 Reactions
3 Replies
8K Views
Nianze kuwakumpongeza MO kwa kuamua kutoa mikopo kwa wanafunzi wenye uhitaji kwa watakaochaguliwa UDSM na SUA. Nadhani amechagua vyuo hivi kwa kigezo cha sifa nzuri kwa vyuo hivi lakini pia kwa...
0 Reactions
2 Replies
932 Views
Back
Top Bottom