Wakuu,
Naomba kwa yeyote anayejua mahali ninapoweza kupata class review iwe imesajiliwa au hata mtu binafsi mwenye CPA au ACCA maeneo ya Sumbawanga mjini aniwekee contact hapa ili niweze kudiscuss...
Wana jamii forum hivi katika kuomba vyuo mbona vyuo vilivyoonyeshwa kwenye guidebook katika kuomba mbona vinatokea vyuo vichache. Mfano, kwenye guidebook upande wa afya kuna chuo cha nesi bugando...
Nasikia Maprof wa The Udom aka Vilazer wamemind kinyama.
Serikali ya Wanafunzi Udom imepiga marufuku bidhaa za MO kuuzwa THE UDOM [emoji23] [emoji12]
Udsm Home of VIPANGA
Habari zenu wanajamvi.
Kuna kijana mmoja jirani yangu alimaliza kidato cha nne mwaka 2011.
Na matokeo yake yalikuwa kama ifuatavyo
1-CIVICS-D
2-HISTORY-D
3-KISWAHILI-C
4-ENGLISH-D
5-GEOGRAPHY-D...
Kama wewe ni mwalimu tupia namba yako ya simu hapa ili uunganishwe na group la whatsap nchi nzima, ambapo pamoja na mambo mengine utapata kunufaika na yafuatayo:-
1.kupata nyaraka mbalimbali za...
Wakuu habari, mara ya kwanza niliomba upande wa Kada ya Afya na Sikuchaguliwa kutokana na Ushindani mkubwa, sasa nimebadili kada na kuomba ualimu, LAKINI wakati nabadili kada "SYSTEM" ikanambia...
Habari zenu wana jf... Nimesoma CBG na kupata Chemistry S, biology E, Geography E nimeapply diploma ya kozi za afya nacte hawajanichagua coz physics O level Nina E nataka niapply za kilimo na...
Habari wakuu,
naomba msaada wa namna ya kupata au kusoma online masters ya engineering sana sana electrical au ICT. Anae fahamu namna ya kupata chuo na gharama zake.
Wanabodi kwanza poleni kwa majukumu mazito ya ujenzi wa Taifa, nimejitokeza mbele yenu kuomba msaada wa kupata material ya shule za sekondari(O'leval na Advanced), ya aina yoyote uliyonayo, pia...
Hiv ukipata sapu au ukicarry g.p.a yako inashuka?? na je hvyo vitu viwili i mean hyo sapu na kucarry vinaweza kusababisha usipate kazi ama kuajiriwa?? Tuambizane wadau
Chuo cha Maji kinatangaza nafasi za Kozi za Muda Mfupi (Short Courses) mbalimbali zinazotolewa hapa Chuoni kwa mwaka wa Masomo 2017/2018. Kila course ina gharama yake na ina muda wake wa kusoma...
Habari zenu ndg zangu
Naombeni link ya kupata Orodha ya majina kwa waliochaguliwa kujiunga Na chuo cha Mwalimu Nyerere Dar es salaam nimeona tangazozo lao TBC wakidai wao tayari...
Napenda kutumia fursa hii kuyaongelea machache kuhusu chuo cha UDOM na pengine wengine wataongezea yale ambayo nitakuwa nimeyaacha lakini pia maswali yanaruhusiwa kwa wale wageni na wengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.