Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Jamani wale ambao tunataarifa zozote kuhusu tarehe ya kuripoti na joining instruction tuambizane tafadhari.....Natanguliza shukrani zangu za dhati!
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu! Salaam! Naomba kama umechaguliwa taasisi niliyoitaja hapo juu uje tubadilishane uzoefu.[emoji3] [emoji3] [emoji3] .
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau, I was reading through the TCU "Quality Assurance General Guidelines and Minimum Standards for Provision of University Education in Tanzania" second edition, and found some interesting guide...
1 Reactions
28 Replies
2K Views
Habari za wakati huu ndugu zangu. Mwenye kujua(uelewa) juu ya degree za nje ya nchi (nikiwa hapa nyumbani)na jinsi zilivyo (hapa namaanisha faida na hasara zake pamoja na ugumu wake) ili nipate...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Salaam Wakuu. Natafuta Abroad/Overseas Education Agency, ambao wanaweza kunisaidia kupata Chuo nje ya nchi,hasa nchi za Nordic na Ulaya Mashariki(Russia & Ukraine) katika Ngazi ya Masters...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Msaada jinsi ya kupanda syllabus ya history ya advance mwenye nayo ani sendie whatsapp 0768562073 Kama hakuna basi ushauri juu ya hilo
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Kutokana na idadi ya waombaji kuwa wengi, wale wote waliochaguliwa wanatakiwa kulipa pesa isiyopungua nusu ya ada ya semester ya kwanza kwa ajili ya kuthibitisha uwepo wao, asiyelipa kiasi hicho...
0 Reactions
5 Replies
16K Views
Habar wana jukwaa nina miaka miwili tangu nimalize Certifacate Chuo cha magogoni na nilikuwa na Gpa 2.5....Mwaka huu niliomba kuendelea na Chuo kwa ngazi ya Diploma katika chuo cha Ustawi wa jamii...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Jamani ni kweli eti kama hujafanyiwa verification kwa mwaka huu wa masomo 2017/2018 husomi?
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu naomba ushirikiano wenu kama kichwa kinavyojieleza,napenda kufahamu mambo yafuatayo kozi ya information technology & bussness na ajira yake vyumba vya kupanga na gharama zake...
0 Reactions
37 Replies
7K Views
Samahan ndugu naomba kuuliza kama kuhama course inawezekana na utaratibu wake
0 Reactions
2 Replies
761 Views
Anayefahamu ofisi za NECTA zilipo naomba anielekeze.
0 Reactions
9 Replies
21K Views
History C Kiswahili C English D Geography D Civics D Biology D Chem F Phyaics F B/Maths F Wadau tafadhali mnishauri kwa ufaulu huo naweza kwenda chuo gani?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
jamani kwa wale wa kitangali mwenye join instructions tujulishane asanteni
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Kwa wenyeji kaka zetu na dada zetu mlio tutangulia kwenye masuala ya kielimu naombeni msaada.Mimi ni mgen kabisa hum. Shida yangu ni kwamba nimechaguliwa chuo cha udaktari wa meno Tanga ngazi ya...
2 Reactions
7 Replies
4K Views
Wana taaluma nauliza hivi mtu mwenye elimu ya Stashahada ya uzamili katika elimu (Postgraduate Diploma in Education ) anaweza akawa na sifa ya kuajiriwa na kwenda kufundisha shule ya msingi au...
0 Reactions
2 Replies
719 Views
Wakati nafika pale Mzumbe sekondari miaka hiyo, huyu braza alikuwa kaka mkuu. Alikuwa mtu fulani mpenda sifa saanaaaaaaaaaaaa! Nakumbuka wakati anatuaga ukaka mkuu, alikuja assemble na simu kali...
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Wale ambao tunatarajia kuchakuliwa UDSM bachelor kwa mwaka wa masomo 2017/2018 njooni tujuzane changamoto tutakazo pitia tukiwa chuoni
1 Reactions
34 Replies
3K Views
Naomba mweye kujua profile ya Chuo hapo juu anifahamishe. Kilipo including mazingira ya kujifunzia, ubora wa elimu, malezi ya vijana, graduates wake wanauzika kwa kiwango gani katika soko la ajira...
0 Reactions
13 Replies
8K Views
Naombeni msaada jamani hivi Chuo cha Lugalo military medical unapanda magari ya wapi halafu unashuka wap ili ufike? Msaada wenu plz..nataka kwenda
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Back
Top Bottom