Habari za jioni wana JF wote, poleni na pongezi pia kwa kuitumia weekend vizuri...!!
Kama kichwa cha habari kilivyo...!
Naomba kufahamu, ni kipi...!! Au ni Mazingira gani huufanya Mwezi kuwa Nusu...
Wadau matokeo ya CPA(T) ya mitihani ya mei yametoka. Mwenzetu nimefaulu na sasa ni CPA(T). Ninafuraha sana yaani
Link: National Board of Accountants and Auditors - NBAA
Habari ya asubuhi wakuu,
Nahitaji msaada wenu tafadhali, naomba kufahamishwa chuo kinachotoa kozi ya clinical medicine kwa ngazi ya cheti.
Mazingira ya chuo ni lazima kiwe Dar es Salaam pia ni...
Habari wakuu
Naombeni msaada juu ya hivi vyuo
1..Nkinga health college
2..bumbuli clinical medicine
3..eckernford tanga
4..st john Dodoma
5..ruaha university
Naombeni msaada juu ya
-ada...
Habari zenu wadau? Kwa kuchelewa huku kwa confirmation na joining instructions kwa wale waliochaguliwa na baadhi ya vyuo, je kuna uwezekano wa kuanza masomo tar iliyopangwa 25/9?
Wakuu naombeni kuuliza kwa wale ambao wameomba udahili kwa stashahada na astashahada kwa kozi mbalimbali je wataingia lini chuoni mwaka wao wa masomo unakuwa tofauti na walioingia tarh 25...
TAARIFA KWA UMMA
Ofisi ya Rais – TAMISEMI inapenda kuwajulisha wananchi juu Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano kwa Awamu ya Pili kwa mwaka 2017.
Wanafunzi hawa...
Naomba mnisaidie kwa hili.
Kwa matokeo haya naweza kupata chuo hata cha private kwa kozi ya nursing?
Chem- C
Bios- D
Phys- D
Math- F
Engl- F
Natanguliza shukrani
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi hiki chuo kinafundishaga nini Jamani? Kuna jamaa wako watano tunapiga nao discussion kwa ajili ya ku sit CPA lakini jamaa ni vilaza kweli yaani wamenizidi GPA mbaliii halafu Vitu vingi vya...
Ipo iitwayo FOOD SCIENCE TECHNOLOGY Chuo kikuu mbeya na nyingine inaitwa WATER QUALITY LABORATORY TECHNOGY katk Chuo cha Maji Ubungo...naombeni ushauri ipi inafaaa na ajira zake zina unafuu...
Mimi ni mwalimu niliehitimu mwaka huu, ninampango wa kufungua shule yangu binafsi au kama kuna mtu anahitaji tufanye wote karibu sana.
Naomba msaada kwa anayejua mambo muhimu yanayotakiwa ili...
Ndugu zangu wanajamvi, naomba kujua shule nzuri iliyopo Ifakara za private iwe ya seminary ya O level. Kuna mwanafunzi tunamtafutia ili afanye interview apate nafasi ya masomo.
Asanteni...
Naombeni ushauri wataalamu kati ya kozi hizi mbili nichukue ipi.Master of Information Technology in Project Management (IT-Project management) and
Masters of Information and Communication...
Habari wana JF
Hivi kama umefaulu O-level basic maths kwa D alafu BAM ukapata F ...lakin comb yako una Div 3. Unaweza kwenda course unayotaka na sio uwalimu.
Moja ya kozi kongwe aru na tanzania kwa ujumla..karibuni sana first year geomatics(land surveying).
Tunaitwa wasaka nyoka.
Pia watu wa geoinformatics ni wenzenu maana mtashare masomo yote kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.