Wana jf habar zenu..!
Mm nlikua naomba kupata mawasliano na mkuu wa chuo chochote cha serikali kinachotoa STASHADA YA UALIMU WA SEKONDARI SAYANSI NA HISABATI. Naomben msaada au mtu mwenye...
Hi.
Kwanza nianze kwa kuwapongeza kwa kujiunga na chuo kikuu hususa ni Chuo Cha Kikatoliki Mwenge kwani mmefanya uamuzi sahihi na hamtakuja kuujutia kamwe..
Chuo hiki kina mazingira mazuri na...
Habari wana JF?
Kwa wale ambao wanasomea chuo tajwa hapo juu au wamechaguliwa hapo tujuane hapa tujuzane mawili matatu
Hata kwa wale ambao wanakifahamu vyema chuo hicho nao wanakaribishwa kutujuza...
Naombeni msaada kwa anayekifahamu Chuo cha Musoma utalii College Tabora,je ni Chuo kizuri kwelii maana nataka niombe nafasi ya kusomea Diploma ya pharmaceutical science...plz
Wana forum habar zenu Mimi nilienda kuapply pale nit mabibo hv vp kuhusu coz niliyotaja hapo juu ina soko kwa hapa kwetu Tanzania alafu naombeni mnijuze ubora wa chuo kile au mbambalambala tyu
Habari za Asubuhi wadau...
Nichukuwe fursa hii kuwapongeza wale wote ambao wamefanikiwa kuchaguliwa na vyuo mbalimbali kwa ngazi ya certificate na Diploma( Conglatulation for all selected), hivyo...
Wanachama wa jukwaa hili leo nimependa kushea na nyinyi kuhusu ishu za shule, kwamba unapojikita zaidi kutafuta elimu ndipo unapoona zaidi elimu nyingine ambayo ni nzuri zaidi ya ile uliyoanza nayo.
NACTE wamefungua profile za watu waliokosa mselection round ya kwanza. Changamka please, deadline ni 01/10/2017. Kuna option ya kubadili kada pia.
Note ni Ualimu na Afya vyuo vya serikali.
Maelekezo ya wizara yanadai tarehe 25 Sept wanafunzi waripoti kuanza masomo
Cha ajabu mpaka Leo nyie wahusika wa vyuo hamtoi join instruction, hivi ndo kusema zinachapishwa Mogadishu au ni process...
Habari wanajamii
Naomba kwa mwenye kujua shule nzuri ya Islamic(English medium) kwa maeneo ya moshi,Naomba anisaidie kuniunganisha au ikiwezekana anisaidie anuani.Nataka kumpeleka mwanangu
Habari wanajukwaa naomba kuelezwakuhusiana n second selection za nacte manake nikifanya udahil kwa mar y pili wananiandikia kwamba natakiwa kusubir second selection which can be run so soon
Mwenye kukijua hiki chuo anisaidie mazingira yake kwa ujumla na kama kuna mtu ana namba za mawasiliano za mtu yeyote anayesoma hapo au anayefanya kazi hapo, nimechaguliwa kwenda kusoma hapo...
WAKATI mwezi mmoja umebaki kabla ya mwaka mpya wa masomo kuanza kwa vyuo vikuu nchini, -
Wanafunzi wa elimu ya juu wapatao 16,000 kati ya 61,000 walioomba kupata mikopo kutoka Bodi ya Mikopo ya...
Nawasalimu wana jukwaa.. Naombeni msaada kwa yyte anaekifaham chuo hiki hasa kwa diploma za afya.. Ubora wake, ada, na mazingira kwa ujumla.. Nitashukuru kwa detail yoyote utakayo share na mimi...
Mm nataka kujua HV chuo cha usafirishaji kilichopo mabibo washatoa majina ya waliioomba kujiunga na coz ya logistics and transport management ngaz ya cheti
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.