Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Taarifa iliyoambatana na majina ya waliochaguliwa kujiunga kwa udhamini wa serikali ilibainisha kuwa tar 18 chuo kinafunguliwa kwa masomo ya diploma ila hadi hivi sasa majina ya private sponsored...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Naombeni msaada. Nina diploma. nataka kujiunga na degree. Nikiomba verification number Nacte wananiambia database yao hainitambui, Chuo nilichomaliza wameniambia wameshatuma taarifa zangu. Nini...
1 Reactions
12 Replies
12K Views
Imekuwa ni kama naaminishwa kitu kisicho sahihi kabsa kuhusu Ethiopia na liberia. Sababu za nchi hizi mbili kutokutawaliwa zimekuwa zikinifanya nistaajabu kila mara Et zina milima yenye mawe mengi...
0 Reactions
52 Replies
24K Views
Waziri Wa elimu ingilia kati hill suala La nacte kuchelewesha kuingiza matokeo ili kupata NAVS kwa wanaotaka kuendelea na masomo ya juu,wanachelewesha na Siku zinaisha na zaidi unakuta wanafunz...
1 Reactions
24 Replies
5K Views
Wasalaam, ndugu zangu. Nashindwa hata nianze vipi. Japo naamini, mwaweza nipeni msaada na tulizo. Nime apply kujiendeleza kwa gazi ya Shahada mwaka huu. Hapo mwanzo nilikuwa na Stashahada na...
3 Reactions
12 Replies
6K Views
jamni sio Mara ya kwanza kuuliza swali hili japo mwanzo sikupata majibu naombeni kujua kozi ya community health INA fikia kikomo level gani jamn ama ni certificate tyu au INA fika mpka...
0 Reactions
37 Replies
15K Views
Wakuu naombeni mwenye uelewa wa taratibu za kurisit anijuze kwasababu nataka kurisit masomo ya sayansi PCB pamoja na B/mathematics lengo ni kuja kuapply clinical medicine hapo baadaye katika hayo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa mwenye uelewa naomba kufahamu kwa hapa kwetu vyuo gani wanatoa kozi ya food & nutrition kwa level ya bachelor wanahitaji vigezo gani. Mwisho Wa kuwasilisha.
1 Reactions
4 Replies
8K Views
Wakuu mambo vipi habarini za usiku napenda kuuliza hivi mbona joining instructions mpaka saiz hawanitumia kwenye profile yangu ili nianze kujiandaa mapema maana hali sio shwar kwa mambo ya daddy...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari zenu wanajf.....samahan napenda kuuliza hivi kozi ya health information science inahusu nini yani mtu aliyesomea hii kozi anafanya kazi gani hospital,salary yake ikoje na vipi kuhusu...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Natanguliza shukrani jamani kwa yeyote mwenye taarifa ama msaada wowote ule utakaofanikisha mimi kupata scholarship ya kusoma nje ya africa. Nimesoma shahada ya elimu masomo ya sayansi na nina GPA...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu kama kichwa kinavyouliza, naomba kama kuna member ana tetesi atujuze.
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Vyuo vya afya (na vingine) vya serikali ada zao ndogo kulinganisha na binafsi. Je ada hizo ni pamoja na kula na kulala au hayo unajitegemea.
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Habari wakuu... Mtoto wa maskini mimi nimejitahidi kufanya vizuri kwa matokeo ya form four na vigezo vyote vya kusoma course za afya ninavyo... Japo kwa idadi ile ya watu walioapply course za...
1 Reactions
63 Replies
8K Views
Anasoma shahada ya Uhandisi wa mitambo(Mechanical engineering) lakini anataka aache na kwenda kusoma stashahada ya kilimo(diploma in general agriculture) au umwagiliaji(diploma in irrigation) kwa...
1 Reactions
31 Replies
8K Views
Mtu aliyepata shahada yenye GPA ya 3.5 ya Open yuko vizuri zaidi kuliko yule aliyepata GPA ya 3.5 vyuo vingine,? naomba kufahamu hilo!
0 Reactions
13 Replies
9K Views
Kati ya gamba (cheti) na elimu, ukiambiwa uchague moja, utachagua nini? Siku hizi walio wengi wameanza kuchagua elimu. Cheti kinakuwa ni kikolezo tu. Ndio maana walio wengi wanatekeleza kwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
TAARIFA MUHIMU KWA UMMA - NACTE
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu niliomba diploma ya ualimu kupitia NACTE, leo nimeangalia nimechaguliwa .Ninachoomba ni msaada kidogo wakuu kwa atakayeguswa maana niliyekuwa nategemea amepata matatzo. Naomba nisaidie hapo...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Back
Top Bottom