Habari wakuu
Nacte wameshanitema siwezi kuwalaumu kwa kuwa wamenipa sababu za kutosha na nimewaelewa ila nimeambiwa kuna second round japo sina tena imani nayo kama nitapita
Wakuu swali langu...
Habari zenu wakuu, naomba ushauri kuhusu koz ya kusoma, Nina Elimu ya kidato cha iv 2016 baada ya kutochaguliwa kwenda kidato cha V lkn bado Nina ndoto za kujiendeleza mpaka chuo kikuu.
Naomba...
Nina D ya phys D ya chemia, bios C, Engl C, maths F, Engl C, Kiswa D, na mengine yaliobaki D. Je ninaweza kuapply advance kwa masomo ya sayansi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Samahan wakuu naomba msaada kwa wenye ujuzi Mimi nimepata nafac ya chuo cha bulongwa na course ni dental therapy diplom sa najiuliza iko powa maana kunachuo kingine pia walinikubalia clinical...
Mimi ni mwanafunzi wa shahada ya kwanza katika chuo kikuu cha Ruaha. Na pia ni mdau wa maendeleo ya elimu nchini, hususan elimu ya juu.
Tukijua ya kwamba, wanachuo wengi ni vijana ambao...
Wakuu
Najaribu kulog in nacte lakini naambiwa username na password hazimatch
Nimejaribu kureset password nimeelekezwa niwape mpesa payment code iliyotumika kufanya application, hii ilishapotezwa...
Naomba kuuliza kati ya kozi ya nursing na kozi ya civil engineering ipi bora kwa soko la sasa katika ajira hapa Tanzania?
Naombeni msaada kwenu ipi ni bora natanguliza shukrani.
Wakuu natanguliza shukrani samahani doctors naomba nisaidieni kwa ushauri nikasome ipi kati ya diploma ya dental therapy na diploma ya clinical medine samahani kama nitakua nimeenda kinyume...
Za Weekend Wakuu,
Mimi ni Mzazi wa Mwanafunzi anaesoma Shule ya Sunrise iliyoko eneo la Mikocheni pale Morocco unaingia ilipo Hospital ya AAR jengo la tatu kutokea pale. Shule hii kawaida hua ina...
Poleni na majukumu wakuu:
Me Nimesoma arts secondry, sasa nataka nianze kusoma certificate mwaka huu kila nikifikilia course gani nikasomee Naambiwa kuna ugumu wa ajila, Asa KwA course za arts...
Nnashamba pwani hekari 2 nataka kulima pine plant (coniferophyta plant) kwa ajir ya uvunaji wa mbao je vipi hali ya hewa ya pwani(mkulanga kijiji cha jaribu)
Kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na TCU, majina ya wanafunzi watakaokuwa wamedahiliwa katika vyuo vikuu mbalimbali yatatoka rasmi tarehe 2/10/2017. Lakini vyuo vitafunguliwa tarehe 30/10/2017...
Awali ya yote natanguliza shukran za dhati kwenu .Ninaomba mnisaidie hivi degree ya ualimu kwa upande wa sayansi na kusoma diploma katika kozi za afya ipi ni bora zaid tukiangalia kwanzia maslahi...
Wadau naomba mtu yeyeto anaeweza kuyaweka hapa jamii forum majina ya watu waliochaguliwa kujiunga na st johns university of Tanzania kwa mwaka huu 2012/2013 ayaweka hapa jamvini.Selection imetoka...
Naomba msaada wa kufahamishwa ni njia ipi mtu unaweza pata nafasi ya kusomea ualimu wa vyuo vya ufundi...au kusomea au kupata ujuzi wa fani za veta mfano civil...electrical.... plumbing...au agro...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.