Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari wakuu, Mimi ni mwanafunzi wa advance hapa nchini, nimekuwa member wa JF tangu zamani sana hasa katika jukwaa la Elimu. Wazo langu ni kuwa tuanzishe society ambayo itakuwa na members...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Miaka ya nyuma kidogo kulingana na changamoto ya uhaba wa walimu serikali ilijenga vyuo vingi vya ualimu hatua hiyo ilikuwa ni nzuri sana na ilipelekea kupunguza tatizo kubwa la walimu nchini...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nasikia kuna vyuo vimeshaanza kuwataarifu majibu ya wanafunzi walituma maombi yao.. Vp ni kweli mmeshaanza kupata majibu?
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Ninaomba kuuliza kuhusu hili...kuna rafiki yangu alipata D mbili form 4 kati ya masomo saba yaani English na Kiswahili. Sasa alianza chuo cha utumishi akaaza certificate na sasa anaaza dip swali...
1 Reactions
6 Replies
6K Views
Habari wakuu, Nimekuwa nikifuatilia kwa muda mrefu wanafunzi walio hitimu UDSM hasa hasa miaka ya 2000 na kuendelea katika utendaji wao na majivuno yao mtaani na mitandaoni hasa hasa humu JF...
20 Reactions
194 Replies
20K Views
Tisaidiane kueleweshana mazingira Na jinsi ya kukabiliana Na maisha ya Dodoma. Gharama za maisha zopoje na ni bora kupanga chumba au kukaa hostels. Karibuni
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Leo Siku Ya Alhamis, Saa 11:27 Tarehe 14/09/2017 Baraza La Mitihani La Taifa Limeachia Matokeo Ya Walio Kata Rufaa. Sijaona Aliyeshinda Rufaa Hata Mmoja. Kuona majina bofya ==> HAPA
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Naombeni mnisaidie vyuo vya clinical medical vya serikali nina ufaulu wa c kwa chemistry B biology,c math na D physc na B ya english
1 Reactions
34 Replies
25K Views
Habarini za asubuhi wana JF. Katika jitihada za kujaribu kutafuta namna ya kujiendeleza kimasomo, nilifikia uamuzi wa kutafuta walau chuo kinachotoa online Courses hasa kwa Second degree. Katika...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Tafadhali naomba mnisaidie ni duka gani kwa hapa Dar es salaam nitapata kitabu tajwa hapo juu. Natanguliza shukrani kwa msaada wenu.
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Hebu tujikumbushe kidogo enzi zile za nauli sh.hamsini,mchiki down na kadhalika.
0 Reactions
28 Replies
6K Views
Wakuu, nahitaji maelzo kidog ya koz hapo juu. Hata kwa sentensi moja tuu
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Batch ya Tatu ya Majina ya Wanafunzi waliochaguliwa Kujiunga na Courses mbalimbali (Provision Admission) katika ngazi ya Diploma kwa mwaka wa Masomo 2017/2018 yametoka. Tafadhali tembelea website...
0 Reactions
24 Replies
6K Views
Wadau, tafadhali anayefahamu shule ya wasichana rugufu sekondari anisaidie kupata taarifa muhimu. Kuna mdogo wangu kachaguliwa hapo. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Muda mfupi tu uliopita Uongozi wa Chuo Kikuu Kikongwe kabisa si tu Afrika ya Mashariki bali Afrika kabisa kama siyo duniani pia cha Makerere kimesema kwamba kimegundua kuwa 65% hadi 75% ya...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Wakuu habari. Nimehitimu kidato cha sita mwaka huu kombi CBG nimepata D E E .. O level sikufanyia PHYSICS mtihani .., je kulingana na kutokuwa na physics O LEVEL je nitaweza...
1 Reactions
30 Replies
9K Views
Nina binti anayenisaidia kazi nyumbani ana umri wa miaka 30, ni mchapakazi Sana kazi za ndani hata za shamba yuko vizuri. Elimu yake ni kidato cha nne ila hakufanya vizuri ana D mbili alimaliza...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari wakuu... leo jioni nimepokea email kutaarifiwa kua nimechaguliwa kujiunga na COLLEGE OF AFRICAN WILDLIFE MANAGEMENT, MWEKA (CAWM) kwa kozi ya basic certificate in wildlife tourism. Naomba...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Kampas ya dar iko maeneo gan ?? Kwa anayejua Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Back
Top Bottom