Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Walimu wengi wanaofundisha fani ya uhasibu ktk vyuo vikuu Tanzania hawajafanya kazi ya uhasibu hivyo wanafundisha theory zaidi kuliko practical. Kama walimu wanaofundisha fani ya Uhasibu nchini...
2 Reactions
44 Replies
12K Views
Huu unaitwa ubunifu. Leo hii ukienda secondary ukamwambia mwl. akuletee mwanafunzi mwenye akili zaidi darasani, atakuletea yule ambae hupata "A" ya Mathematics, Physics au Chemistry. Kamwe...
5 Reactions
25 Replies
4K Views
Husika na kichwa cha uzi huu hapo juu naomba msaada kwa yeyote anae kifaham chuo hiki vizuri especially kwa course ya clinical medicine diploma (ada na taaluma yake) Natanguliza shukrani [emoji121]
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wakuu samahani kama kuna mtu anayevifahamu vyuo vya ualimu secondary kwa masomo ya sayansi na hisabati ukiachana na Monduli, Kleruu, Korogwe, Kasulu na Dakawa .Kama vipo vingne naomba...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habarin za saa hiz wakuu. Ningependa niende direct kwenye mada, dogo langu amechaguliwa kozi ya radiography katika chuo cha Bugando...ningependa kujua kwa mwenye ufahamu na uelewa juu ya hiyo coz...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Jjebaleko banyabo ne nassebo Olunaku lwalelo luwede Dah mnakumbuka waapi enzi zenu wale waliosoma shele kama 1.East High 2.Kawombe Memorial high school 3.Kinaawa pale Kyengela(Chengela) 4.Kawempe...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ndugu zangu wana Jami foram kuna tetesi kuwa wanafunzi wa kidato cha tano chaguo la pili wameshatamgazwa,yeyote mwenye ukweli anijuze. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
75 Replies
25K Views
Wadau habari zenu? Hongereni wale mliochaguliwa kozi mbalimbali na NACTE, imetangazwa vyuo vinafunguliwa tarehe 25/9 lakini joining instructions bado. Tunaomba wazitoe mapema ili tupate muda wa...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Nilikuwa ninaaply tena kwa mdogo wangu ambaye alikosa selections zilizopita Nimeambiwa namba ya mtihani ilikwishatumika tayari Subirini mpaka mfumo utakaporuhusu Nashindwa ku upload picha
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Mdogo wangu amechaguliwa pale,, naomba mwenye link ya kuipata joining instruction 2016/2017
1 Reactions
1 Replies
6K Views
Wadau kwa wale walioomba olmotonyi majina ya waliochaguliwa yameshatoka au bado maan kweny web site awajaweka
0 Reactions
0 Replies
3K Views
1. BASIC TECHNICIAN CERTIFICATE IN CLINICAL MEDICINE Level 4 2. TECHNICIAN CERTIFICATE IN CLINICAL MEDICINE Level 5 2. BASIC TECHNICIAN CERTIFICATE IN NURSING Level 4 3. TECHNICIAN CERTIFICATE IN...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Kwa wale waliosoma au bado wanasoma hapo tupeane mawasiliano
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu Nina imani mpo salama na shuguli za kujenga taifa Lengo la kuleta uzi huu ni kujadili ni shughuli gani inafaa kuanzishwa pale chuo ili mwanafunzi update kipato Yaani nina...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Naungana na mwandishi wa Gazeti la Mwananchi la leo Jumanne Septemba 19, 2017 kuhusu kichwa cha mada hapo juu, kusikitika kwa yanayojiri kwenye hizo shule. Gazeti hilo limekariri matokeo ya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwenye profile yake kozi moja wamemwandikia eligible, wait for next selection maana yake nini? Asubiri uhakika upo wa kuchaguliwa au wakitoa second round aaply tena? Naomba kufahamishwa
0 Reactions
49 Replies
8K Views
TOPIC 2. ★★★THE RISE OF DEMOCRACY IN EUROPE★★ BACKGROUND Democracy Is system of Government by the people and for the people. Democracy refers to a system of Government in which all people can...
3 Reactions
14 Replies
27K Views
habari za majukumu wana jf, naomba kuuliza kuhusu chuo cha Kilimanjaro institute of technology kilichopo sinza mapambano na mwenge, je hiki chuo kiko vizuri kwa ufundishaji upande wa course ya...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wakuu naombeni mnisaidie kwa yeyote anaayejua au mwenye taarifa zozote kuhusu majina ya walio kuwa selected kujiunga na chuo cha RUCU ngazi ya diploma na certificate 2017/2018 naomba tujuzane.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu salama? Kwa wale ambao bado mnasoma, au tuna ndugu zetu/watoto wetu bado wanasoma Kidato cha 5/6. Hivi yule Mwalimu wa Kiingereza Ostadhi Shaaban Omar bado yupo? Na bado anafundishia kwenye...
0 Reactions
2 Replies
929 Views
Back
Top Bottom