Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Hizi degree za online zinakubalika nchini Tanzania ?
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu habarini za kazi naomba msaada wa joining instructions ya Tukuyu school of nursing mwenye nayo anisaidie tafadhali
0 Reactions
8 Replies
5K Views
inakuwaj hapoh msaadah
0 Reactions
32 Replies
5K Views
Habari wana jukwaa la Elimu. Hii document inayoitwa standing order, kama kuna mtu anayo naomba a upload hapa maana mkuu wa shule anasumbua kweli kweli. Pliz msaada.
0 Reactions
36 Replies
7K Views
Wakuu! Natumaini hamjambo! Naomba kuuliza kama kuna aliyepata meseji ya kuitwa chuoni miongoni mwa walio apply Haydom atupe uzoefu.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
GoodEvening wana JF.. Nilikuwa na swali hv inawezekana MTU aliemaliza form six na Division 3 point 16 akapata chuo cha private au public kuingia degree courses....
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Wana ATC tunasema Skills make the Difference, Huu utakuwa uzi special kwa alumni na Currently Students katika Chuo chetu Makini cha Ufundi Cha Arusha, Sambamba tunawakaribisha Wote wanaotaka...
2 Reactions
65 Replies
22K Views
Nataka kuchukua masters mwaka huu, ila sipo tayari kuacha kazi na kuhudhuria lectures kz hata jioni siwezi sipo Dar nipo Kigoma. Naomba kujua hii by thesis nikiomba cz kuna option hiyo, naomba...
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Wadau kwa ambae anaweza kuwa na uhakika wa taarifa adondoshe majibu.hawa jamaa naona kimya hadi sasa na hawajatoa hata alama ya nini kinaendelea maana na wao waliahidi kutoa mapema mwezi huu wa 9
0 Reactions
1 Replies
2K Views
hivi mtu aliefanya diploma ya radiography anaweza kusoma course gani ya afya kwa level ya degree?..msaada kwa mwenye uelewa
2 Reactions
40 Replies
21K Views
Habalrini wna jf :( Kwa yeyote yule aliyechaguliwa chuo cha ualimu Kitangali kilichopo Mtwara naomba tukutane hapa tufahamiane na pia tujuzane mengi kuhusu masuala ya chuo...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wadau.. Kiukweli nimeumia sana baada ya kuona huyu binti anavyofanya presentation kwenye seminar akiwa chuoni UDSM Kweli lecture mzima unakubali na kumruhusu binti wa chuo kikuu ana...
9 Reactions
83 Replies
7K Views
Habarini wakuu, NACTE wametoa available slot lakini nyingi kama si zote ni upgrading na in service sasa mimi ambaye sijawahi kusoma hata certificate na siko in service naweza ku apply?natanguliza...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Habari za mda huu wanaJF naomba kujua idadi ya machaguo inayopaswa kufanywa maana NACTE waliniletea message kua niongezee 5000/= wakati najaribu kuweka second program.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa wale tulio apply hiki chuo tujuzane mambo mbalimbali kuhusu chuo na kozi tulizo omba Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
83 Replies
16K Views
Hi my brothers and sisters in all parts of our beloved country Tanzania. My names is James. I am a students' ambassador for the University of People in Tanzania. I know that many Tanzanians...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwa walio apply mwalimu nyerere memorial academy kigambon tukutane paaaa
1 Reactions
5 Replies
5K Views
Habari wakuu, Nauliza vipi kuhusu matokeo ya wanafunzi wanaotarajia kupata elimu ya chuo kikuu 2017/2018 tarehe maalum ya kutoka ni lini? ina maana kila chuo kinatoa matokeo kwa kujitegemea? Au...
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Jaman naombeni ushauri nifanyeje ndugu zangu nilifanya application online chuo NIT lakini sikumaliza last step ya submission kutokana na ubovu wa mtandao kugoma na ndo ilikua deadline pia nilienda...
0 Reactions
40 Replies
3K Views
Back
Top Bottom