Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Kwa wale diploma Chuo kina nafasi ya mwanafunzi 1 (Marangu) walio aply zaidi ya buku hapa kweli kuna lawama[emoji15]
1 Reactions
0 Replies
745 Views
Kwa habari nilizozipata kutoka kwa mmoja wa wahusika wa udahili wa vyuo vikuu 2017/2018 zinadai siku ya tarehe 25/09/2017 jumatatu vyuo vikuu vilivyopokea applications za undergraduate degree...
9 Reactions
65 Replies
10K Views
Kwa wale waliopata uhamisho au wenye uzoefu hivi inachukua siku ngp toka majina yatangazwe mpaka barua za vibali zifke halmashauri nisije nikakurupuka kesho nikute hewa
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wana jamvi naomba ushauri kuhusu kijana anayechukua hkl baada ya kumaliza ana fursa gani na kozi gani baada ya kufika chuo ambazo ataendana na soko la ajila..
1 Reactions
25 Replies
29K Views
Habari za muda huu wana jamvi, Naomba kujuzwa dondoo za chuo tajwa hapo juu kwa anaekijua
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Wakubwa naombeni ushauri kati ya hizo kozi, ipi ipo poa? Agronomy na biotechnology Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
8 Replies
2K Views
WanaJF naombeni mnijulishe kwa undani kuhusiana na COICT-UDSM -Diploma in Comp.Sc kwa aliehitimu kidato cha VI -Life at the college -Accomoɗation(hostel .nk) -Teaching and Learning equips...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za sasa hv wakuu, Naomba kuuliza kwa mwenye uelewa kidogo kuhusu vyuo vinavyotoa diploma ya Clinical Medicine Je ni vyuo gani vizuri vya private vinavyopatikana kati ya Dar es Salaam...
0 Reactions
10 Replies
7K Views
Kwa mlioripoti vyuoni leo tupeni vinavohitajika huko mana me naendelea kusubiri join instruction hatujui zitatoka lini
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ndugu tusaidiane kama jinsi ilivyoelezwa hapo awali tar 25/9 diploma wanatipoti ,ila mpaka sasa hamna joining je twende ivo ivo?
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Naomba kujua iv majina kwa waloaply udom diploma tayar yalishatokaa au bado?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
UHAMISHO sasa waachiwa angalia jinaa lako hapo chini Uhamisho chunya songea watumishi wote SEPTEMBER 2017 Watumishi wa Idara ya Afya Waliohamishwa SEPTEMBER 2017.pdf MAJINA YA WATUMISHI...
2 Reactions
3 Replies
8K Views
Kitaa kishanchosha wakuu bora npate hiyo kozi yeyote tu chuo kikuu maana si mnanajua perception za watu wa vijijin wakikuona umekaa home mwaka mzima wanaanza "amefeli amerudi tulime hapa au kamlia...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Wakuu nisaidieni mawazo , Nisome course gani kati ya hizo zilizotajwa make nimechaguliwa course hizo zote . Course gani ni bora kuzidi nyingine? Mawazo yenu tafadhar
1 Reactions
12 Replies
5K Views
Habari wakuu, awali ya yote nawasalimu, natumai mu wazima wa afya. Kwa wale wote waliotuma maombi ya kujiunga na chuo kikuu huria Tanzania, napenda wafahamu kuwa majina ya waliochaguliwa kujiunga...
0 Reactions
19 Replies
9K Views
Ndugu wapendwa hv hawa nit taratibu zao zinaenda vp maana Mimi siwaelewi hadi Leo hii trh 23 mwez wa Tisa hawajatoa selection hv ni kawaida yao au ni kwa mwaka huu.
0 Reactions
3 Replies
910 Views
mimi ni mwanafunzi wa hapo naingia third year uliza chochote kuhusu Jordan nitakujibu.
0 Reactions
26 Replies
14K Views
Mwenye uelewa wa hiyo course kwa level ya diploma please naomba anifahamishe. Maana sijawahi kuisikia ila hapa mtaani kuna chuo kwa level ya diploma na nataka niombe nafasi
0 Reactions
31 Replies
17K Views
Habari za jioni wakuu, Naomba msaada kwa anayekifaham hiki chuo kiko Mtwara,,na je wanafunzi wameanza kuripot?? Je kama ukichaguliwa unapataje joining instructions??
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu habari za asubuhi, Naombeni msaada juu ya chuo cha st.john tawi la Dar ,Bugulun Malapa,kimeshafungiwa au lah? Maana mdgo wng ameapply hapo kwa ngazi ya cheti lkn hakuna dalili yoyte ya...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom