HAND WASHING.
Proper hand washing is one of the most effective way of preventing the spread of disease such as diarrhoea disease. Pathogen cannot be hand and water alone is not...
Kwako Mama Mpendwa. .!
Shikamooo Mama .Natumai unaendelea vizuri na majukumu ya kulijenga Taifaa letu pendwa .
Nia na dhumuni la kuandika barua hii ni kutaka kukumbusha Mama yangu mpendwa ile...
NAFASI CHACHE ZA SHULE
Je,wewe ni Mwanafunzi wa kidato cha Tatu uliyekwama kuendelea na masomo au unaetafuta shule ya boarding? au umekwama kwa namna yoyote ile na unahitaji msaada kwa ajili ya...
Habari za jioni,? Poleni kwa pilika pilika za siku nzima.
Naomba nisiwachoshe sana niende moja kwa moja kwenye mada Yangu , nimesoma bachelor of Commerce in Marketing, je naweza fanya...
Habari wakuu.
Mdogo wangu kachaguliwa kusomea Stashahada (Diploma) ya uwalimu wa kilimo katika chuo tajwa hapo juu.
Naomba kujua hali ya chuo na mazingira ya chuo kwa ujumla.
Na vipi hali ya...
Samahanini ndugu, naomba kuuliza vyuo vya afya vya serikali huwa wanatoa vyakula na malazi hapo hapo chuoni au wanafunz wanajitegemeaa. Kinginee hivi kwa diploma za afya na ualimu kwa vyuo vya...
Wanataaluma,
Kwa mwalimu wa somo la Kiingereza mwenye notisi za uchambuzi wa "novel" ya
"The Interview" iliyoandikwa na Patrick Ngugi,
Ziwe soft copy au hard copy nina uhitaji nazo.
Naomba...
Habar wapendwa. kuna ndug yangu alimalza form four mwaka 2006, alisoma masom ya sayansi. na matokeo yake alipata kma ifuatavyo Physics F, chem D, Biology D, English D civics C. sasa anataka...
Wakuu salama? Nina wazo la kutengeneza system mbalimbali za Electronics ambazo zitakuwa suitable Katika Mazingira yetu, Yani kuwa calibrated kutokana Na mazingira yetu, Changamoto kubwa ni...
Mdogo wangu ameomba nafasi katika vyuo Vikuu vya Dodoma, Mzumbe, Udsm na Mwalimu Nyerere.
Lakini mpaka sasa sijasikia Taarifa zozote juu ya vyuo kutoa majina ya waliomba, ama mtandaoni au...
Hello,
I think kuongoza nchi nzima au kuwa top ten kwenye necta sio swala LA mchezo.
Hawa ma T.O wanatumia mbinu gani za kusoma? Lyk wanasoma sana au wanakariri abott yote or...
Mwenye uzoefu...
Naamini hili jukwaa wengi mnajua kucheza na namba, Zawadi ya kifurushi cha 1 gb mtandao wowote ipo kwa ataeweza hili swali na kuelekeza njia aliyotumia, ukiweza weka namba au nifate p.m unipe...
Jaman naomba kuuliza, Kwa mfano umemaliza bachelor of science in education alafu unataka uunge masters, kwa sasa ni masters ipi iko market able world wide in education.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.