Habari zenu wanajukwaa napenda kuwashauri waliokosa vyuo first round wazingatie yafuatayo Kama wanataka kusoma.
1. Msinga'ng'anie course zenye compition kubwa zimeshacover na vipanga course kama...
Jamani nisaidieni,
Mimi nimechaguliwa chuo cha NIT na UDOM lakini mimi nataka kwenda NIT, sasa kwenye multiple selection ya NIT sipo, unafanyaje hapo?
Kwa anaefahamu plz msaada wako...
UDOM wametoa nafasi kwa ajiri ya maombi awamu ya pili, la ajabu hawajasema programme gani zimebakiza nafasi. Ukijaribu kuomba zote zipo kama zilivyokuwa mwanzo. Hebu saidia kutoa nafasi zilizo...
Mimi nimetumiwa sms na chuo kuwa jina langu limekataliwa TCU hivo ikabidi nichukue barua kutoka katika chuo ambacho nilichaguliwa mwaka jana hivyo nikaenda TCU wakanipa fomu nikajaza nikawapa tena...
Habarini za jioni watu wa mungu. Nilikuwa naomba ushaur jui ya jambo hili ambalo linaniumiza kichwa mimi nimechaguliwa certificate ya nursing ila nadhan kulingana na competition ndo nikajikuta...
Nilitumiwa email from open university kwamba wamenichagua kujiunga hapo ila wakasema ni provision letter na majina wao mpka sasa hawajatoa nifanyaje wadau ??
Kwa wanafunzi waliyochagiliwa kkujiunga na vyuo vya afya na ualimu kupitia mfumo wa nacte kwa yeyote yule aliyetumiwa join instruction form mpaka sasa naomba tujulishane mapema ikiwezekana
Mafanikio ya elimu ya Tanzania yameanza kuonekana katika miaka ya 2000,hapo ndipo watu walipoanza kuamini mafanikio katika elimu leo 2017 takribani miaka 17 ni muda mchache tu hali imebadilika.Leo...
Wadau naona vijana wengi wanafurahia kupata chuo dah ila mwenzenu nikiwakumbuka HESLB furaha inapotea kabisa kwa kuwa nikikosa mkopo ndoto za kusoma UDSM zinazimika kama mshumaa coz nimesoma kwa...
Chuo cha bahari( Dar es salaam Maritime Institute) kinachotoa kozi za unahodha wa meli na uhandisi meli kinapenda kuwakaribisha wanafunzi wote wa mwaka wa kwanza katika muhula wa masomo wa mwaka...
Hivi karibuni kumekuwa na mjadala kuhusu kutumia Kiswahili kama lugha ya kufundishia kuanzia elimu ya msingi na ikiwezekana hata chuo kikuu. Ni muhimu kutumia lugha yetu ya taifa siyo kwa sababu...
Inatia aibu sana kuona chuo chenye sifa ya kutoa maengineer na maIT nchini tena wenye kuaminika inashindwa kurekebisha system na kuupload selection mpaka leo karibu vyuo vyote vishatoa majina...
Mimi ni muhitimu wa kidato cha nne mwaka fulani niliomba diploma ya clinical officer kupitia NACTE nimepata lakini sina uwezo wa kujilipia ada msaada wa mashirika yanayotoa udhamini.
Jaman msaada naomba...kama yupo aliye chaguliwa chuo cha IFM na tayari ame confirm au mwenye uelewa juu ya hili....wameandika confirmation format ni CN01234-tareh-mwez-na mwaka wa kuzaliwa.....huo...
Mimi nimemaliza kidato cha nne ila nimekosa wastani wa kujiunga na kidato cha tano sasa nilikuwa naomba ushauri wenu.
Mimi nina wastani wa kujiunga na chuo sasa mpaka saa hizi sijajua nikasomee...
Takwimu za TCU zinaonesha hadi sasa wengi waliofanya application kwa awamu ya kwanza wamekosa vyuo.
Kati ya waombaji 180,640 majina kutoka vyuoni yalitumwa TCU na TCU inaeleza kutokana na kasoro...
Wanabodi, mdogo angu kachaguliwa kujiunga na fani ya Fine Arts and Design(UDOM & UDSM). Hivi mtu huyu atapata mkopo? ajira zake zipoje? Naomba kuwasilisha.
Wakuu samahani kwa usumbufu...nilihtaj msaada wa kuelekezwa (procedure) za kuandika proposal ya kipind cha kwnye tv...kama kuna mtu ana sample anaweza nisaidia...nataka kuandika proposal ya kipind...
Naomba kujua kama kuna yoyote aliechaguliwa kwa ngazi ya degree ikiwa yeye aliomba kwa njia ya DIPLOMA kwa vyuo vilivyo toa majina tayari!!! Na je kunaaliye chaguliwa ARIDHI UNIVERSITY?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.