Jamani wana JF poleni na majukumu ya kila siku mimi ni undergraduate nimechaguliwa DUCE kusoma education lakini mimi sijapenda kusoma hiyo nataman kuhamia main campus ili nisome mass...
Poleni na majukumu wakuu;
Naomba kujuzwa, kuhusu uwanda wa mtu mwenye diploma ya phamarcy kama akihitaji kujiendeleza kwa maana ya degree na kuendelea. Je ni kozi gani nyingine ambazo anaweza...
Naombeni msaada kujua mahali kilipo chuo cha ualimu dakawa na jinsi ya kufika, mimi ni muhanga wa uhamisho tuliopewa NACTE baada ya UDOM kujaa. Napata vipi join instruction..
Wale ambao wamefanikiwa kuapply St.John ikoje, mbona mimi nikitaka kuingia kwenye online application. Inachukua muda kufunguka hadi inagomaa. Tusaidiane wakuu.
Heshima kwenu wakuu,
Nina mdogo wangu amechaguliwa kusomea ualimu wa masomo ya ufundi chuo cha Kleruu Iringa, naomba kama kuna Mtu anakijua chuo hiki au alishawahi kupita pale au ana uzoefu na...
Habar wanasuaso, Serikali ya wanafunzi kutoka chuo kikuu cha SOKOINE CHA KILIMO inapenda kuwakaribisha wanafunzi wote wa mwaka wa kwanza.
Pia Serikali ya wanafunzi kwa kushirikiana na utawala...
Habarini wakuu, baada ya kupigwa za uso katika round ya kwanza admission nimeapply mara ya pili tena lakini kuna minong'ono inayosema eti mama amesema mwaka huu ni round mbili tu, je kuna ukweli...
Jamani najaribu Ku re-apply tena lakini napofika ktk kujaza form 4 index namba na ambiwa already exist. Jaman tusaidiane ukizingatia siku zimebaki 2 tu .
Kwa yeyote anayejua anisaidie
Habari wakuu!
Nimepata chuo ila kiukweli kozi niliyopangiwa sijaipenda kwani niliomba vyuo vingi kwa imani kuwa nitapata katika vyuo mbalimbali na baadae nitachagua niende chuo gani!
Lakini...
Prof Ndalichako mi nitamkubali kuwa ana nia kweli ya kuboresha ELIMU ya nchi iwapo atafanya yafuatayo kwa uchache wake:
1. MITIHANI YA KUHITIMU DARASA LA
SABA.
Prof abadili mfumo wa...
Prof Ndalichako mi nitamkubali kuwa ana nia kweli ya kuboresha ELIMU ya nchi iwapo atafanya yafuatayo kwa uchache wake:
1. MITIHANI YA KUHITIMU DARASA LA
SABA.
Prof abadili mfumo wa...
Nawasulisha hii mada, ili tujadili humu JF kwa kina, simulizi ya Christian Bwaya, ndani makala ya kichwa cha habari hapo. Makala yake imechapishwa kwenye Gazeti la Mwananchi, Jumanne Oktoba 10...
Habari zenu wana jukwaa nimesikitika kuona utitiri wa madogo bado wanaigombania BAED hivi wameyasikia matangazo kweli ya mkulu.
Kwa nini usomee course ya unemployment?
Kwa nini watu hawana...
Natumai nyote ni wazima wa afya na kwa wale ambao wanaugua ninawapa pole na mungu awape afya njema ili wapate kuendelea an majukumu yao ya kila siku.
Baada ya hayo napenda kuleta kwenu uzi huu...
Wadau kwa wale waliochaguliwa kujiunga na vyuo vya ualimu siku kadhaa zilizopita kama kuna mtu ameshadownload au anaejua jinsi ya kupata join instructions ya chuo anisaidie.
Kwa maelezo kutoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.