Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Wakuu habari zenu,,, natumai mu wazima na mnaendelea na shughuli za kulijenga Taifa. Naomba mwenye Audio ya huu wimbo anisaidie kuipata. "Tazama ramani utaona nchi nzuri, Yenye mito na...
4 Reactions
33 Replies
21K Views
Nilimaliza form 4 mwaka 2012 ,kutokana na matokeo yale nilipata div4 ya 28 .Matokeo hayo yalinikatisha tamaa kiukweli sio siri.2014 nkaenda soma special course ya ualimu wa private na kumaliza...
1 Reactions
3 Replies
741 Views
Habari za majukumu wadau wa jukwaa la elimu, kama kichwa kinavojieleza, naombeni yeyote mwenye sample ya lesson plan anisaidie. Natanguliza shukrani kwenu.
0 Reactions
22 Replies
8K Views
Vijana changamkieni fursa www.tcu.go.tz
1 Reactions
0 Replies
702 Views
Second selection ya vyuo wanatoa lini?
0 Reactions
6 Replies
690 Views
Wakuu habari za asubuhi nilikuwa naomba msaada nimechaguliwa chuo cha mipango dodoma lakin nimeandikiwa not approved due to not meet minimum point of program niliwasiliana na chuo wakasema ni...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Waziri wa mpya wa TAMISEMI, Selemani Jafo ameagiza Wanafunzi wa shule za Serikali kufanya mitihani ya mchujo kabla ya kupandishwa vidato. =========== Dodoma. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais...
3 Reactions
48 Replies
6K Views
I own Kluger, 3000cc, 1998 model. The check engine sign and VSC sign have been appearing on a car's dash board after driving about 15 to 20km. My technician thought that it was the issue of...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
habari wana jamiii forum wenzangu mimi naomba kujuzwa jeeeh nafasi za chuo zimeisha fika ukomo wake kwenye maombi au bado????
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Hivi jamani huko mashuleni hasa secondary huwa hakuna siku ya ukaguzi wa kushtukiza maana unakuta mwanafunzi anaenda na simu shuleni bila wasi wasi na wengine unakutana nao kwenye daladala...
4 Reactions
43 Replies
8K Views
Habari wakuu naomba kufahamu Muhimbil Campus ya Tanga ipo maeneo gani.. Mimi ni mgeni natoka Mtwara nahitaji kufika huko chuoni.
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari wanajf kwa aliyesoma Kigurunyembe chuo cha ualimu. Naomba tuwasiliane anipe mawasiliano.
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Wakuu naomba kuuliza matokeo ya darasa la Saba yanatoka lini
0 Reactions
25 Replies
10K Views
Nahitaji kusoma software code kupitia youtube anaejua aweze kwanza kunifafanulia ni nn software code na inafaida gani kusoma pia ukisoma kupitia youtube bila kuwa na cheti badae itakusaidia vp...
1 Reactions
2 Replies
859 Views
[emoji445][emoji445]
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Ndugu wanajamvi! Kabla ya yote niwasalimu! Natumai mpo salama Na mnaendelea kupambana Na ujenzi wa taifa! Baada ya salamu... Niende moja kwa moja kwenye mada/swali. Ni kama mada...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ivi principle pass ya kusoma stashahada ya ualimu wa secondary ni kuanzia D au E? tafadhari!
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Ninawatafuta wale jamaa wanaotafutia vyuo au shule wanafunzi wanaoenda kusoma nje wao wanalipa ada kisha muhusika anakuwa anawalipa kwa awamu au kidogo kidogo nataka nafasi za vyuo au shule za...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Back
Top Bottom