Ukitaka kufungua blog lazima ulipie domain name na web hosting kwa wale ndo kwanza wanaanza kujikita katika tasnia hiyo vipi utalipia.
Naomba kuwasilisha !!!
Habarini za weekend, naamini mmejiandaa vyema kesho kuanza kazi.
Wapendwa jana katika pilika pilika za weekend nikapata call mpya, akajitambulisha ni rafiki yangu aliliwa kichwa miaka hiyo tukiwa...
habari wanaJf!!
Kumekuwa na mkanganyiko sana wa hawa watu wa maabara kati ya wanao fanya kazi ya Medical/ Industrial/Research/School Laboratory au wanafunzi wanao somea fani ya maabara kati ya...
Kiufupi ni kwamba ninaitaji kuomba kazi ktk career isiyo yangu( nisiyosomea)sasa nimeambiwa nipeleke C.V ndo nimepata utata je niandae kulingana na career niliyosomea au laah?naombeni ushauri wenu,
habari za mda huu. naomba kwa aliefanya field kwenye kampuni ya amazing solutions iliyopo sinza dar es salaam anitafute plz 0759808457. Ni kwajili yya maswal ya elimu tu. Asante.
Mimi mwl jackson L basigwa nipo halmashauri ya kasulu natafta wa kubadirishana vituo vya kazi anaetoka kati ya mkoa wa mara,mbeya,morogoro na katavi idara elimu msingi..Phone 0753482907
wakuu ninaomba ambaye anauelewa juu ya kozi ya [bachelor of arts in translation and interpretation] anijuze juu ya haya mambo yafuatayo hata kama sio yote kama unauelewa walau juu ya moja wapo...
Elimu ni jambo la msingi kwa mtu yeyote yule, pasipo kujali hali ya maumbile au ulemavu wowote ule. Japo kuwa kuna watoto wengi ambao wametaabika wasipate mtu au mwalimu aliye na uzoefu wa...
HESLB imesema iligundua vyeti hivyo ilipokuwa ikihakiki uhalali wa sifa za wanafunzi walioomba mikopo, baada ya kuvipeleka kwa Msajili wa Vizazi na Vifo (RITA) kwa uthibitisho. Vilikanwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.