Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Guy habari vip haba jamvini naomba kupata joining instruction za course za afya Diploma in clinical Medicine AMO Training Center -MBEYA
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tazama kama umefanikiwa kupata mkopo chuo kikuu ....
0 Reactions
7 Replies
3K Views
WAKUU NINA MDOGO WANGU KAPATA VYUO VINNE KWENYE SECOND ROUND KAMA IFUATAVYO TUMAINI DSM------LAW MoCU-----------------POLITICAL SCIENCE AND PUBLIC ADMINISTRATION MUM------------------LAW WITH...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
wanabodi nataka nijiunge na NBAA nisome CPA naombeni akaunti nilipie,halafu napenda kujua itanigharimu kiasi gani kuanza.nataka nianze intermediate na nitaanza masomo mawili je itanigharimu kiasi...
1 Reactions
0 Replies
384 Views
NAOMBENI kuulza coz hii inahusiana na nin na iko marketable kwa kiac gan
1 Reactions
27 Replies
7K Views
Hivi second batch inatoka Lin mwenye ueelewa anisaidie tafadhari jaman
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Jamani nauliza kwa mliopata loan HV kuna ambaye hakuhakiki cheti cha kuzaliwa rita na kapewa mkopo?
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Financial Accounting and Reporting Corporate Governance Principles of Microeconomics Advance Cost and Management Accounting Cost and Management Accounting 7th Ed Financial Management...
0 Reactions
45 Replies
7K Views
A rich man fat does not stink!!!!!!
0 Reactions
3 Replies
803 Views
MKUU WA SHULE YA SEKONDARI NDOOMBO ANATANGAZA NAFASI ZA KAZI KATIKA NGAZI ZIFUATAZO: 1. WALIMU: (I) PCM (II) PCB (III) HGL (IV) HKL (V) HGK 2. HUMAN RESOURCE MANAGER ( HR) 3...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu habarini za asubuhi samahani kuna mdogo wangu kachaguliwa course mbili civil engineering na mechanical engineering ipi course nzuri Kati ya hizo tu confirm moja Wazoefu ushauri wenu...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Mimi nimecheki tayari na nimepata chuo. namshukuru Mungu kwa kwakweli maana awamu ya kwanza walinitema
5 Reactions
97 Replies
11K Views
jaman wadau kutakuwa na majina ya multipl selction udsm for second round kam ilivokua kwa first round?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
habali wana jf?? jaman mi udom siwaelew, nilichaguliwa chuo zaidi ya kimoja katika awamu ya kwanza ikiwemo udom, Ila sikucomfirm, na wakaniandikia kabisa sijacomfir, lakini Leo naangalia nakuta...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Hapa ni baadhi ya matangazo ya nafasi za ajira katika taasisi/kampuni mbalimbali Fuata link hizi kuzisoma zaidi kisha kuapply EMPLOYMENT OPPORTUNITIES AT USAID TANZANIA ~ LOYANI KISULA...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
habari za mchana wa JF, kuna tangazo la kazi ivyo pitia uone kama unaweza kidhi vigezo vyao.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jmn ndugu zangu..nimechaguliwa ifm coz uyo hapo juu....kwa mwenye ufaham naomben anijuze mana cjuh ata inausu nn,
0 Reactions
6 Replies
5K Views
moja kwa moja kwenye mada wadogo zangu wawil walifanya chaguz za course zao lakin kwa bahati mbaya hawakuchaguliwa..hivyo kufanya niwasaidie kuomba kwa mara ya pili (second round) niliingia kwenye...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Aisee kwa mwenye link ya majina ya waliochaguliwa mwecau naomba anipatie tafadhali
0 Reactions
0 Replies
623 Views
Wakuu, poleni na majukumu mdogo wangu alichaguliwa BaEd DUCE ila leo udom kachaguliwa environmental disaster.. Kama mdau mzuri wa elimu na uelewa wako please asaidiwe aende course ipi kati ya hizo...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Back
Top Bottom