Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Habari wakuu Eti nauliza wale wanaopataga wafadhili binafsi mfano mtu tu anajitolea kupeleka shule ukajiendeleze kielimu hapahapa Tz pale ulipokwamia huwa wanawapata wapi? Wanawapataje? Na je...
3 Reactions
22 Replies
842 Views
  • Poll Poll
Sorry guyz mm nimemaliza form 4 na nimepata 1.7 NECTA with A tisa na B moja ila nataka kuwa doctor and sitaki kwenda A level because naogopa physics na Biology itaniangusha and sitoweza kupata...
1 Reactions
6 Replies
387 Views
Mfumo umefunguka vizuri. Ninaingiza taarifa vizuri. Kwa nini sehemu ya kuingiza namba ya NIDA nikibofya inazunguuka muda mrefu haiendeleei? Msaada wanaujua hili suala.
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Anonymous
VYOO Katika Shule ya Msingi Rubale iliyopo kijiji Businde Kata Businde Wilaya ya Kyerwa Mkoani kagera vimekataa na kujaa kitu kinachofanya wanafunzi kukusaidia vichakani wazazi wamechagishwa hela...
1 Reactions
2 Replies
253 Views
Je, sheria ya elimu ya juu Nchini inamruhusu mtu kumiliki shahada mbili katika tahasusi mbili tafauti yaani niwe na degree ya Civil engineering kutoka UDSM halafu niende zangu CBE kuchukua...
0 Reactions
7 Replies
735 Views
wakuu yeyote ambaye hajajua wapi kachaguliwa weka form IV index number yako hapo http://cas.tcu.go.tz/2/admitted_applicants.php
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu, Nahitaji kujua kuhusu hali ya ubora wa chuo cha Kampala International University kwa sasa, maana hapo miaka ya nyuma nliskia kashfa nyingi kuhusu hiki chuo.
1 Reactions
34 Replies
4K Views
Wakuu ule msemo wa usikosee kozi ya kusoma unanitesa nipo njia panda je kozi ipi nzuri ya afya ya kusoma kati ya hizi :-radiology, pharmacy au medical lab
3 Reactions
20 Replies
889 Views
Bonjour Kuna hii kozi Ina itwa Digital marketing Naomba maelezo ya kina kuhusu hii kozi, Nawezaje kujiajiri? Soko lake lipoje?
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Hivi hiki chuo kinadahili watu wa aina gani na waliofaulu vipi? Au div four wote wanaishi huko?
2 Reactions
6 Replies
471 Views
Wana JF Nina shida ya kujua chuo gani kinafundisha maswala ya broadcasting kwa upande wa technician. Radio transmitters, links na vingine vyote
0 Reactions
1 Replies
405 Views
Habari za muda huu wanaJF, ni kijana wenu nimeleta Uzi huu tushare kwa pamoja, hivi inakuaje mtoto anafika hadi level ya sekondari kidato Cha kwanza hajui kusoma yaani haelewi chochote, na je...
1 Reactions
10 Replies
576 Views
Nataka kuomba nafasi za kusoma shahada ya kwanza katika fani za afya cchuo cha mbarara university,utaratibu ukoje kwa wanafunzi wa kitanzania?
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Habarini, nina swali nimemaliza clinical medicine mwaka huu nina GPA ya Tano. Nataka kujiendeleza MD bahati mbaya nafasi za MD Serikalini kumejaa na private siwezi kumudu ada, nauliza mwakani...
4 Reactions
166 Replies
11K Views
Naomba wakuu angalau nipate hata pa kuanzia maana nimesoma diploma katika hii course lakini sina hata connection ya kazi yoyote hii imekaaje please msaada wenu
0 Reactions
4 Replies
859 Views
Habarini ndugu zangu, mwenye kujua au mwenye ushuhuda wa uwezekano wa kupata scholarships kusoma nje ya nchi kwa sisi wenye GPA chini ya 2.8, mfano mimi nina GPA ya 2.6 level ya degree, je...
3 Reactions
55 Replies
11K Views
Wanabodi, Kwa maoni yangu, kitendo cha NECTA kutunga mtihani ambao siyo ili kuwakomoa "watu fulani " kulikopelekea wanafunzi kufeli vibaya ili kujustify hao kina "fulani" ni wajinga!, na...
8 Reactions
237 Replies
25K Views
Ninaomba mnisaidie kunitofautishia kati ya Creditors na Debtors, hizi terms nimeshndwa kuzielewa vizuri. Hata nimejarbu ku-google lakini sijaweza kutofautisha. Asanteni.
1 Reactions
16 Replies
20K Views
Wakuu naombeni mnipe ushauri wa kunijenga kisaikolojia ,nimepata supplementary 5 katika masomo nane ninayo soma Hapa nilipo sina amani kabisa yani ,najiona mkosaji mkubwa sana Najaribu...
23 Reactions
742 Replies
124K Views
Wasalaam. Tangu nikiwa chuo ilikuwa hairuhusiwi. Nikaja kwenye professional examination ilikuwa hivyo. Hata wakati nafanya CPA na ACPB na kisha CPSP niliona wakikataza. Swali linajieleza...
3 Reactions
49 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…