Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Habari wa kuu , Nmeona combination mpya zimeongezwa ili kuwapa uwanja mpana wanafunzi wa advance lakini naona hazija ongeza kitu kwa wanafunzi wa sayansi zaidi ya computer.kwa maono yangu...
1 Reactions
3 Replies
844 Views
Wakuu msada please kwa yeyote anaefahamu sehemu ambapo naweza pata field ya Mech engineering naomba anisaidie.Sehemu ambapo ningependa nifanyie field kama itapatikana ni dar. Asanteni.
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Nina umri wa miaka 26, nimehitimu Kidato cha Nne Mwaka 2016 na matokea nina C flat 5 na D ya History na Chemistry na F ya Fizikia na Hesabu ndoto yangu ni kuwa na bachelor ya IT nifanyaje wakuu?
1 Reactions
45 Replies
2K Views
Nimewasikia watekelezaji wa mtaala (walimu) na wanafunzi kupitia wazazi wanasema mada zinazofundishwa darasa la tatu zinawadi umri mfano Kwenye somo la hisabati,jometri iliyokuwa inafundishwa...
1 Reactions
9 Replies
509 Views
Nawasalimu. Naomba kwa wazoefu wanifahamishe Bei ya kumfundisha mtoto tuition akifatwa nyumbani kwao.wa darasa la tano na darasa la kwanza. Msàada jamani.
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Nimaswali gani nitaulizwa nitakapo enda kufanya interview katika moja ya hospital kubwa hapa Tanzania, Nafasi nilio omba ni Operational Major.
1 Reactions
1 Replies
215 Views
Naomba nijibiwe maswali yangu kuhusu huu mtaala mpya wa elimu. Jedwali na.4: Somo, umahiri mkuu na umahiri mahususi kwa darasa la iii hadi la vi. Kipengele na: 8. Elimu ya Dini Itatolewa na...
2 Reactions
38 Replies
3K Views
Habari, naomba mnisaidie njia Bora ya kupokea pesa online nakui-transfer katika mitandao ya simu kama tigo, mpesa au Airtel...z[emoji120]
0 Reactions
6 Replies
386 Views
Naomba wadau wa Jamiiforums waweze kufatilia uovu unaofanywa na mwalimu mmoja katika shule ya secondary Kanoge ambayo ipo wilaya ya Nsimbo mkoani Katavi kwani katika shule hiyo kuna mwalimu wa...
1 Reactions
44 Replies
3K Views
Habari! Ni muda sasa nimekuwa nikitafakari kwenda VETA kwaajili ya kusomea fani moja wapo miongoni mwa fani zifuatazo;- i)Umeme wa magari ii)Umeme wa majumbani iii)Udereva Nimekuja kwenu...
2 Reactions
12 Replies
675 Views
Wanafunzi naomba muulize chochote kuhusu kuhama Chuo /vyuo vikuu .
3 Reactions
29 Replies
5K Views
Kuna kijana hapa alisoma BSc In mechanical Engineering, mwaka wa 3 semister ya 2 akaugua sana akashindwa kuendelea akaomba kuahirisha, mwaka uliofuata akaahirisha tena akae sawa kabisa. Alipotaka...
1 Reactions
10 Replies
678 Views
Ninafikiria mwanangu akimaliza darasa la saba nimsomeshe QT miaka 2 na form 4 mwaka mmoja kisha form 5&6 mwaka 1. Kikubwa ni kujitoa muhanga kumsimamia kwa ukaribu wa hali ya juu ili afanikiwe.
3 Reactions
37 Replies
2K Views
Rejea kichwa habari hapo juu. Tukiwa tunasubiria Sekeseke la 'kupiga pepa' tufaulu ndio tuajiriwe hebu tupeane dondoo za hapa na pale. Pepa' itakuaje na labda itakuwa ni content based kwendana...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Nilipokuwa A-level, nilifanikiwa kusoma katika shule mbili tofauti za Bweni. Vifuatavyo ni visa navyokumbuka i) Kama mjuavyo, utumiaji wa simu katika shule za Bweni ni mshikemshike. Sasa mie...
1 Reactions
1 Replies
796 Views
Hello habari za majukumu. Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu cha kikatoliki Ruaha (RUCU) kilichopo Iringa. Kwasasa changamoto ambayo wanafunzi wengi tunaipotia ni ucheleweshwaji wa pesa za...
3 Reactions
21 Replies
3K Views
Chama pekee kinacholazimisha wanachama na wao bila kupenda kukatwa michango yao ni cwt. Chama.cha walimu Tanzania. Unaweza ukakipa nafasi ya kidunia katika vyama ambavyo 95% wanachama leo...
1 Reactions
6 Replies
807 Views
Mimi kama mdau wa jamii forum nimeona hoja na kero nyingi zikipatiwa ufumbuzi mbali mbali hivyo naomba kuwasilisha hoja yangu ya msingi hapa! Ni kuhusu wizara ya elimu hapa nchini ninaomba...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Niulize swali lolote linalohusu taaluma au nafasi za taaluma (academic positions)
4 Reactions
43 Replies
2K Views
Tanzania inakwenda kuingia kwenye medani za kisayansi kwa lile 'jaribio lake la nchi nzima la kujiachia badala ya kujifungia kipindi cha korona'. A nationwide display of herd immunity at its best...
0 Reactions
3 Replies
481 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…