Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Nakumbuka enzi hizo ugali tuliita ngunga(gima) wali uliitwa bee. Ugali ulikuwa ukilala kesho take unakuwa mweusi kama udongo was mbuga. Maharage yenye funza weupe na weusi yalinogesha mlo...
3 Reactions
13 Replies
4K Views
Short Courses Long course Welding and Fabrication level I and II Auto Electric level I and II Motor Vehicle Mechanics level I and II Truck Mechanics Plant Mechanics Short...
6 Reactions
34 Replies
5K Views
Hapa kuna mazoea na vidokezo 20 vya kujisomea vinavyoweza kukusaidia kuzingatia masomo yako: 1. Unda ratiba ya kusomea na jishikilie nayo. 2. Tafuta eneo tulivu lisilo na vikwazo vya kusumbua. 3...
2 Reactions
11 Replies
471 Views
Kwenye hiyo roman yenye figure 1
0 Reactions
3 Replies
334 Views
Jamani naombeni munisaidie ushauri mwanangu amemaliza form four na amepata division two ya kumi Na nane masomo ya science. Je, nimpeleke chuo Moja kwa moja au aendele na form five.
0 Reactions
10 Replies
663 Views
Mimi ni kijana wa kiume miaka 27 'nilimaliza Form 4 2013 nikapata division 3 lakini nikakosa nafasi form 5 Since day one ndoto yangu ilikuwa ni kuwa DAKTARI +Business man 2014 nikachomoka Moshi...
16 Reactions
152 Replies
8K Views
Habari wakuu!! Hadi Sasa nimejaribu Sana kuapply NACTE lakini nimeshindwa, Naomba msaada kwa yeyote anaweza kunisaidia au amefanikiwa kumaliza kuapply NACTE!! Mpaka Sasa nimejisajili na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Binti ana Four ya 28 (arts pure) sasa anataka kujua anachoweza kusomea >>>Ameambiwa aingie humu achague kozi zinazoendana na ufaulu wake>>> NIT DIT NACTE
2 Reactions
9 Replies
442 Views
Anonymous
Kumekuwepo na malalamiko mengi juu ya utitiri wa adhabu za viboko shuleni. Watoto wanaogopa kwenda shuleni kisa adhabu za viboko ni kali na pia namna ya utoaji wa adhabu hiyo umepelekea wanafunzi...
2 Reactions
6 Replies
520 Views
Ukisoma fani ya 'Marketing', moja kwa moja wewe unakuwa umejiondoa kwenye kazi za kukaa ofisini na kupulizwa na kiyoyozi; kazi zako wewe ni za kwenda 'field' kwenye kutafuta wateja kwa kutuma...
4 Reactions
15 Replies
505 Views
Anonymous
Chuo Kikuu cha Iringa kina ubabaishaji, hawajali afya za Wateja wao (Wanafunzi) haiwezekani mwanafunzi kafanya usajili kuanzia Novemba mpaka Desemba, lakini bima yake haijawa activated. Mnufaika...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kila nikimkumbuka mwalimu wangu wa Hisabati Mwalimu Msiagi alivyokuwa akitujengea confidence katika somo la Hisabati zikiwemo test za asubuhi pamoja na kuielewa table na kuiweka kichwani hakika...
5 Reactions
53 Replies
3K Views
Wealth creation is not a matter of luck it is the result of applying an appropriate strategy. Although myself I am not Wealth, but I would like to get there. Here are seven wealth building secrets...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Call it a clan, call it a network, call it a tribe, call it a family. Whatever you call it, whoever you are, you need one." - Jane Howard Many Tanzanians works for so many years before they...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
We as human beings are always dreaming what we want to make true. But for some of us no matter how much you try it seems that you do not reach your goals. What is happening? Why are you having so...
1 Reactions
23 Replies
5K Views
Hello wanachama wenzangu habari za leo, Kijana wangu anapenda kusomea Aircraft Eng au U pilot, kwa sasa sina hakika na suala la ajira kwa hapa nyumbani na kuna mtu ameniambia hata nje ya nchi...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari za wakati huu wakuu, naomba mwenye kampuni yeyote ya clearing and forwarding au anayeweza kunipa connection ya wanafunzi zaidi ya 10 kupata field ndani ya dar es salaam ani PM. Weka bei...
1 Reactions
1 Replies
546 Views
Karibu tukupe mfumo mzuri wa kuchakata matokeo kwa shule zote nchini hata zile za mitaala mpya tunazo. zipo kuanzia primary hadi vyuo vya ufundi. nipigie 0682744740 tujadiliane! tembelea pia...
0 Reactions
2 Replies
822 Views
Na kama ipo tuna apply vipi tofauti na wale wanaochaguliwa direct kutoka form 4
0 Reactions
2 Replies
894 Views
Hili suala la cut point za kuingia chuo kikuu zilipandishwa na waziri wa Elimu kipindi hicho (Ndalichako) kiliwaumiza wengi wengi sana hasa watumishi wa umma wenye kutaka kujiendeleza kielimu...
2 Reactions
14 Replies
807 Views
Back
Top Bottom