Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Population iliolezewa like naona ingetakiwa kuwa update na kuwekwa namba halisi iliopo sasa,mana imeelezewa kuwa chuo kingekua at full capacity after 2020 lakin sasa tuko 4 years after 2020, hii...
0 Reactions
3 Replies
432 Views
Habari, Naomba kama kuna mdau ana-softcopy ya tamthiliya ya ORODHA anisaidie kunitumia hata kwa kuiweka hapa jukwaani, ni hilo tu muwe na mapumziko mema ya mwisho wa wiki.
0 Reactions
1 Replies
489 Views
Habari Kama kuna aliyefanikiwa kujaza hizi form (self form) za kidato cha nne kwaajili ya uchaguzi wa kidato cha tano, kupitia tamisemi (selform.tamisemi.go.tz), naomba anipe muongozo au mwenye...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Anonymous
Habari, Mimi ni mwanafunzi wa chuo cha dodoma (UDOM) ndaki ya kompyuta na elimu angavu (CIVE). Hapa ndaki kwetu (College) kuna tatizo la maji sasa kufikia wiki ya pili maji hayajatoka tatizo...
1 Reactions
2 Replies
391 Views
Salaam Wakuu, Kidato cha nne mwaka 2021 Kijana alipata Division Two ya Arts. Hakwenda kabisa Advance kwa sababu za kiafya hivyo sasa ameamua kwenda chuo kusoma ualimu. Kijana anataka kusoma DUCE...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau wapi naweza kupata notice za sekondari kuanzia kidato cha kwanza hadi cha nne kulingana na mtahala (syllabus) za wizara ya elimu Tanzania. Wapi naweza kuzipakua (download) kwa ajili ya...
1 Reactions
2 Replies
734 Views
Habari zenu wakuu Nimekuja kwenu nikiamini hapa Kuna wataalamu Wana sayansi bomba wenye ujuzi na maarifa mengi Nilikua naomba ushauri kwenu nipo chuo na nimetumia muda mwingi kufanya tafiti na...
1 Reactions
1 Replies
277 Views
Huyu mdada maarufu kama wanavyowaita. Aunti nilishuhudia akimpa maneno makali bint mdg imeniuma sana ndio maana nimeileta hapa wahusika wafanyie Mimi mama edina sipendi kabisa hizi tabia.
2 Reactions
24 Replies
1K Views
Pamoja na kuwa na ufaulu wa daraja la nne points 27, mtoto wa Mkuu wa Kaya, Mwanaasha J.K. Kikwete ameanza rasmi masomo ya kidato cha tano katika shule moja hapa jijini Dar es Salaam. Shule hiyo...
4 Reactions
126 Replies
31K Views
Binafsi nipongeze mabadiliko yaliyofanywa ya kuleta mkuu mpya wa shule ya Sekondari Nyiendo hapa Bunda.Ushauri wangu kwako naomba ujikite kwenye maeneo yafuatayo ill ufanikiwe 1.Epukana na...
1 Reactions
13 Replies
953 Views
Kuna wakati mwingine unaweza ukawa unaandika report na ukatakiwa kuweka citation na references. Lakini kwa kutokujua ukajikuta unaanza kufanya citation na references manually. Kwa dunia ya...
0 Reactions
0 Replies
256 Views
Salamu wapendwa Katika kitu ambacho nilikuwa natamani basi ni kuwa na kitabu changu (Ni passion yangu). Nime-plan kuandika vitabu kadhaa Kama reference kwa wanafunzi. Basi Kwenye hii likizo...
3 Reactions
16 Replies
1K Views
Mwalimu mmoja anayefahamika kwa jina la Yusuph wa shule ya Msingi ZIGA ya mchepuo wa kingereza iliyopo katika mji wa Makambako wilaya ya Wanging'ombe mkoani Njombe,anatuhumiwa na wazazi kwa...
2 Reactions
22 Replies
1K Views
Nipo katika harakati za kutafuta shule kwa ajili ya kijana wangu anategemea kuanza darasa la kwanza hapo mwakani. Moja kati shule nilizozipendekeza ni hii st. Matthew. Nipeni muongozo. Kuna uzi...
0 Reactions
1 Replies
352 Views
Marketing segmentation is an essential tool in marketing used by the marketers to make investments decision. WHAT DOES IT MEAN? Marketing segmentation is the process of dividing(segment) market...
3 Reactions
5 Replies
466 Views
Nimesoma bachelor ya geography and environmental studies Ud, kisha nikataka kuhamia education lkn sikuwa na taarifa sahihi nikasoma masters baada ya kumaliza nikaambiwa inabidi nisome postgraduate...
0 Reactions
2 Replies
408 Views
Amani iwe nanyi want JF.. Naomba kueleweshwa nifanyeje ili kijana apate mafunzo ya urubani.Nasikia gharama ni kubwa sana.. je pana uwezekano wa kupata ufadhili wa serikali au shirika lolote ili...
1 Reactions
41 Replies
5K Views
He ntachaguliwa chuo cha afya cha serikali? Chem C Bios C MathC physics D Je, na cozi gani inanifaaa?
1 Reactions
0 Replies
233 Views
Habari wadau wa JF, Natumai mu wazima. Mimi ndoto yangu ni kuja kusomea uengineer wa ndege ila sina idea sana kuhusu hiyo kozi kwa hapa Tanzania. Nimejaribu kutafuta ma experts wa io kozi...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Back
Top Bottom