Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Ni dogo ambaye ndoto zake ni kusoma special school kati ya ilboru, Mzumbe, Tabora boys kwa mchepuo wa PCB, alikua vizuri sana Physics ila imemuangusha maana mitihani ya shule alikua anapiga A ila...
6 Reactions
51 Replies
3K Views
Hii kali sana kweli ngozi nyeusi ni nyeusi tu.. Rafiki yangu aliepo MUHAS, katika story za hapa na pale akawa ananielezea kuwa licha ya JOTO la Dar hili lote madarasa wanayotumia kusomea na yenye...
4 Reactions
29 Replies
2K Views
Nina mdogo wangu yupo zanzibar amepata matokeo ya Form four : HISTORY D Geography D KISWAHILI C Anaweza akapata chuo zanzibar? Chuo gani? Course gani anaweza kusoma?
0 Reactions
10 Replies
518 Views
Habari ya muda wanajamvi. Nimejaribu kufuatilia udahili wa vyuo vikuu kwa miaka mitano nikagundua hamasa ya watu kusoma master's degree imepungua sana. Hata mtaani ni wachache sana utasikia...
4 Reactions
30 Replies
2K Views
Position: PhD Student (1 post) Reports to: Project Leader Work station: Bagamoyo Apply by: February 15th 2024 Duties and Responsibilities She/he will also be responsible for supporting the MSc...
0 Reactions
2 Replies
445 Views
Habari, Nimemaliza kidato cha nne mwaka jana 2023 katika masomo ya biashara nilikuwa naomba ushauri Kati ya kwenda advance level education au chuo. Nk. Ninamatamanio ya kusomea Uhasibu. Asante.
1 Reactions
14 Replies
1K Views
"Watoto wetu huku Mbagala kwa Makusudi kabisa wakimuona Mtu tu mwenye Ugonjwa huu wa Macho wa Red Eyes wanaenda Kumshika na hata Kugusisha mikono yao na Macho ya hao Wagonjwa kisha kujigusa katika...
2 Reactions
4 Replies
530 Views
Ualimu ni kazi nzuri Sana. Inavutia Sana kuifanya kwa moyo. Nakumbuka nikiwa darasani nikiwalekeza watoto napata Raha sana mwanafunzi anapoelewa na kuelezea(demonstrate) like jambo. Nilikuwa...
43 Reactions
161 Replies
12K Views
NB: Mada husika ipo kwenye paragraph ya pili. Heshima kwa wanajukwaa wote, baada ya salamu naomba niende moja kwa moja kwenye jambo la msingi. Mimi ni mhitimu wa kidato cha sita mwaka 2022 na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jumla ya Wanafunzi waliosajiliwa kufanya Mtihani wa Kidato cha 4 mwaka 2022 walikuwa 534,753 lakini waliofanya Mtihani huo ni 522,217 ambapo Wasichana walikuwa 280,251 na Wavulana 241,966. Tafsiri...
8 Reactions
42 Replies
3K Views
Wanabodi, Kuna msemo wa kizungu usemao, "numbers don't lie" yaani numbers, haziongopi!. Japo mimi nilipokuwa primary School nilikuwa mzuri wa hesabu, sekondari nikakutana na Additional...
45 Reactions
362 Replies
11K Views
Wakuu tumsaidie huyu dogo mana nimekosa Cha kumshauri kwa Sasa, Matokeo ya Kidato cha Nne yametoka Huyu binti kapata Division Four ya 30. Civics D Kiswahili D History D Geography D Biology C...
5 Reactions
23 Replies
2K Views
Wizara ya Elimu imekamilisha mtaala Mpya wa Elimu ngazi ya msingi ambapo Watoto wataishia darasa la Sita huku idadi ya masomo ikiongezeka. Pamoja na hayo Mtaala inaonesha masomo ya Lugha...
2 Reactions
25 Replies
3K Views
Wadau mliosoma uwalimu Haswa walimu wa lugha kwa level zote diploma na degree. Kuna yoyote anayekumbuka kujifunza juu ya sera ya lugha ya Tanzania. Katika kozi ulizosoma chuo je kunakozi yoyote...
1 Reactions
0 Replies
315 Views
Dogo ni mvulana na anataka achukue PCB. High school yenye sifa ya kufaulisha vizuri kila mwaka.
1 Reactions
3 Replies
784 Views
Naomba kuuliza kama mtu umejiajiri na unatamani kujiendeleza kimasomo kwenye fani ya usimamizi wa fedha ...ni Bora kusoma kipi kati ya hizo program mbili na kati ya hizo ni ipi ambayo itakupa muda...
3 Reactions
25 Replies
2K Views
Hakika ningejua nisingepoteza muda wangu kwenda kusoma form five na form six. Advanced secondary education is completely a wastage of time and resources. Mjomba wangu alinishauri nilipofika form...
11 Reactions
75 Replies
14K Views
Wakuu, nipeni uzoefu katika hilo tafadhali. Mimi na rafiki yangu tumepanga nyumba ndogo ambayo tunatumia kama madarasa pamoja na ofisi humo humo, sasa tupo katika mchakato wa kujipanua shule bado...
2 Reactions
18 Replies
5K Views
Kati ya kwenda hge hgk au kwenda chuo course ya bussness administration au human resource qu accountancy ipi ni bora zaid naombe msaada
4 Reactions
68 Replies
5K Views
Wanabodi, Nimekuwa nikipitia matokeo ya form four kwa baadhi ya shule za Zanzibar, kwa shule nyingi nilizopitia, nimeshangazwa kukuta Div I, Div II, na Div III ni chache sana!, kule zimejazana...
5 Reactions
74 Replies
12K Views
Back
Top Bottom